pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 461
- 644
Wakuu habari,
Mimi ni kijana niliyemaliza shahada ya ualimu katika taasisi kubwa sana hapa Tanzania mwaka 2018. Nina umri wa miaka 27 mpka sasa hivi.
Hivyo nipo mbele yenu kutafuta kazi mahali popote hapa Tanzania ikiwa ndani ya fani yangu au nje ya fani yangu.
Kwa sasa napatikana Mwanza, ila mahali popote naweza kuja kwani hali sio nzuri huku mtaani pia kukosekana kwa mtaji ili niwezwe kujiajiri ndo inanisababisha niombe kazi hapa.
Karibuni kwa ushauri pia. Naweza kufanya kazi yeyote ile.
Mimi ni kijana niliyemaliza shahada ya ualimu katika taasisi kubwa sana hapa Tanzania mwaka 2018. Nina umri wa miaka 27 mpka sasa hivi.
Hivyo nipo mbele yenu kutafuta kazi mahali popote hapa Tanzania ikiwa ndani ya fani yangu au nje ya fani yangu.
Kwa sasa napatikana Mwanza, ila mahali popote naweza kuja kwani hali sio nzuri huku mtaani pia kukosekana kwa mtaji ili niwezwe kujiajiri ndo inanisababisha niombe kazi hapa.
Karibuni kwa ushauri pia. Naweza kufanya kazi yeyote ile.