Ahsante mkuu. vp wewe huhitaj nguo kali za kushona?Kila la kheri mkuu
Mimi bado natimba na mitumba ya buku 4 tu mkuuAhsante mkuu. vp wewe huhitaj nguo kali za kushona?
Kwahiyo ndio ukaona utuchambe?Napenda surwali za kushona lakini mafundi mnakera sana. Mara ya mwisho nilikubadiliana na fundi anishonee surwali mbili kwa sh 45,000 nikachukuwe baada ya wiki moja, nikampa sh14,000 ili nije nimalizie 31,000. Siku hiyo nikaenda saa kumi na Moja jioni nakuta amekata vitambaa tu hajaanza hata kushona, akasema njoo kesho. Nikamuuliza wiki nzima umefanya nini?! Hakuna Cha kesho. ni either unipe Ela yangu au surwali zangu zote mbili niondoke nazo sasaiv. Ikabidi nisubiri azishone kuanzia saa kumi na Moja Hadi saa nne usiku. Kuna muda umeme ulikata nikamuwashia tochi, Akataka kwenda chooni nikamzuia. Mafundi wengi mnakuwa kama mmelaaniwa hamuwezi kufanya kazi kwa uaminifu bila kugombana na mteja
Kama kaweza kuzishona ndani ya masaa 6, basi kutokuwa na nidhamu ya kazi ndio kunasababisha utowajibikaji!Napenda surwali za kushona lakini mafundi mnakera sana. Mara ya mwisho nilikubadiliana na fundi anishonee surwali mbili kwa sh 45,000 nikachukuwe baada ya wiki moja, nikampa sh14,000 ili nije nimalizie 31,000. Siku hiyo nikaenda saa kumi na Moja jioni nakuta amekata vitambaa tu hajaanza hata kushona, akasema njoo kesho. Nikamuuliza wiki nzima umefanya nini?! Hakuna Cha kesho. ni either unipe Ela yangu au surwali zangu zote mbili niondoke nazo sasaiv. Ikabidi nisubiri azishone kuanzia saa kumi na Moja Hadi saa nne usiku. Kuna muda umeme ulikata nikamuwashia tochi, Akataka kwenda chooni nikamzuia. Mafundi wengi mnakuwa kama mmelaaniwa hamuwezi kufanya kazi kwa uaminifu bila kugombana na mteja
Pole sana mkuu, mafundi tunatofautiana sana. njoo inbox tuyajenge, utafurahia kazi yanguNapenda surwali za kushona lakini mafundi mnakera sana. Mara ya mwisho nilikubadiliana na fundi anishonee surwali mbili kwa sh 45,000 nikachukuwe baada ya wiki moja, nikampa sh14,000 ili nije nimalizie 31,000. Siku hiyo nikaenda saa kumi na Moja jioni nakuta amekata vitambaa tu hajaanza hata kushona, akasema njoo kesho. Nikamuuliza wiki nzima umefanya nini?! Hakuna Cha kesho. ni either unipe Ela yangu au surwali zangu zote mbili niondoke nazo sasaiv. Ikabidi nisubiri azishone kuanzia saa kumi na Moja Hadi saa nne usiku. Kuna muda umeme ulikata nikamuwashia tochi, Akataka kwenda chooni nikamzuia. Mafundi wengi mnakuwa kama mmelaaniwa hamuwezi kufanya kazi kwa uaminifu bila kugombana na mteja
Kama una pesa kidogo usisubiri order. Shona nguo kali display sehemu watakuja tu. Watu wanapenda kuona kazi kwanzaPole sana mkuu, mafundi tunatofautiana sana. njoo inbox tuyajenge, utafurahia kazi yangu
Ahsante kwa ushauri mkuu. nitaufanyia kaziKama una pesa kidogo usisubiri order. Shona nguo kali display sehemu watakuja tu. Watu wanapenda kuona kazi kwanza
Ahsante kwa ushauri mkuu. nitaufanyia kaziKama una pesa kidogo usisubiri order. Shona nguo kali display sehemu watakuja tu. Watu wanapenda kuona kazi kwanza
Napenda surwali za kushona lakini mafundi mnakera sana. Mara ya mwisho nilikubadiliana na fundi anishonee surwali mbili kwa sh 45,000 nikachukuwe baada ya wiki moja, nikampa sh14,000 ili nije nimalizie 31,000. Siku hiyo nikaenda saa kumi na Moja jioni nakuta amekata vitambaa tu hajaanza hata kushona, akasema njoo kesho. Nikamuuliza wiki nzima umefanya nini?! Hakuna Cha kesho. ni either unipe Ela yangu au surwali zangu zote mbili niondoke nazo sasaiv. Ikabidi nisubiri azishone kuanzia saa kumi na Moja Hadi saa nne usiku. Kuna muda umeme ulikata nikamuwashia tochi, Akataka kwenda chooni nikamzuia. Mafundi wengi mnakuwa kama mmelaaniwa hamuwezi kufanya kazi kwa uaminifu bila kugombana na mteja