Mimi ni Askari, natafuta mke (umri 23-24yrs)

Mimi ni Askari, natafuta mke (umri 23-24yrs)

nyalwango

Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
8
Reaction score
0
Nipo Singida, akiwa mtumishi idara yeyote hata askari pia coz mimi pia ni askari, umri wangu 25yrs.

Namba 0768114209.
 
Nenda kwenye chaguzi za CCM utawapata watumishi wenzako.
 
punguzeni kupiga wananchi wasio na hatia na instead mdeal na majambawazi mixer mafisadi
 
Nipo Singida, akiwa mtumishi idara yeyote hata askari pia coz mimi pia ni askari, umri wangu 25yrs.

Namba 0768114209.

Mlinzi wa ultimate ambaye hajapitia hata mgambo, unajiita askari, mjarabu msaka mademu wa jf, ungejua thamani ya askari usingejaribu huu -----.
 
Nipo Singida, akiwa mtumishi idara yeyote hata askari pia coz mimi pia ni askari, umri wangu 25yrs.

Namba 0768114209.

Huna sifa ya kuwa askari;askari c mropokaji kama ww na hawez kuandika utumbo kama huo acha kutumia gia hyo kupata mchumba ww funguka ukweli usaidiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom