Comrade21
JF-Expert Member
- Apr 27, 2023
- 386
- 557
Habari zenu wakuu
Mm ni kijana wa kiume, katika maisha yangu huwa nashaanga sana kuona kwamba watu huwa wana date. Unakuta mwamaume na mwanamke wako kwenye mahusiano wanaonhea zao na kufanya yao.
Kwa kweli kwa upande wangu yaani hii kitu ni ngumu sana sio utani, sijawahii ku date japo huwa nataman sana niwe nami hata niwe na rafike wa kike ambaye nutakuwa nae tu share vitu fulani hv kwenye maisha hapa na pale ila siwezi.
Nilicho kuja kugundua kwangu laba ni kwasababu mm sio mtu sana wa kuongea na pia n mtu mkimya sana, sipend sana kuongea ila ni mtu ambaye nina upendo wa dhati na huruma sema sijui laba ni kauwoga au ndo kwamba kuto kujiamini.
Msaada wenu ni mbinu gani nitumie
Jinsi: kiume
Mm ni kijana wa kiume, katika maisha yangu huwa nashaanga sana kuona kwamba watu huwa wana date. Unakuta mwamaume na mwanamke wako kwenye mahusiano wanaonhea zao na kufanya yao.
Kwa kweli kwa upande wangu yaani hii kitu ni ngumu sana sio utani, sijawahii ku date japo huwa nataman sana niwe nami hata niwe na rafike wa kike ambaye nutakuwa nae tu share vitu fulani hv kwenye maisha hapa na pale ila siwezi.
Nilicho kuja kugundua kwangu laba ni kwasababu mm sio mtu sana wa kuongea na pia n mtu mkimya sana, sipend sana kuongea ila ni mtu ambaye nina upendo wa dhati na huruma sema sijui laba ni kauwoga au ndo kwamba kuto kujiamini.
Msaada wenu ni mbinu gani nitumie
Jinsi: kiume