Mimi nashauri CHADEMA ifutwe

Mie nakushauri; rudi kwa dr. wako akubadilishie dawa zako za maradhi ya kichwa kwani unazotumia kwa sasa zimejenga usugu na ukichaa unazidi kukomaa.
 
Bw.Pascal Ndege utakufa utaiacha Chadema hata wakoloni walitakankuifuta TANU badala yake waliondoka wao
 
Wazo zuri kwa kuwa uliyelitoa una kiwango kidogo sana cha akili
 
Haujapona bado
 
Cha Arusha ... !!! Kimemchukua hatare !!!

Afu zero weeee!!! kaaazi kwelikweli, yaani Hapo Kama anaota vile ...
 
Litakuwa jambo jema sana walahi!
ENOUGH OF CHADRAMA WALAHI
 
halafu mkuu hii thread uliandika ukiwa umechuchumaa chooni unakata gogo eeeh...😳😳
 
"Tabula lasa"
How old are you?
 
Kwanini wewe usifutwe kwanza maana Ni mbinafsi usieheshimu mawazo tofauti. Kipaji nilichokuona nacho ni upumbavu
 
Kwanini wafe niwapi uliona haki ikitendeka watu wanakufa
 
Vile ule uchaguzi wa ukonga unafanyika lini
 
Umekula maharagwe ya wapi?
 
Huyu bwana ndege katumwa ila huo upuuzi siyo mahali pake peleka huko kwa waswahili wenzako jf ni ya wasomi wanajielewa. Kapambane na hali yako 🙂 🙂!!!
 
NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi.
Washamba na limbukeni mna taabu sana! Kwa kuvuruga lugha hamjambo...iwe Kimombo, Kiswahili au hata Kisukuma, ni kuvuruga tu mtindo moja.
Nipe jibu la maana ya uhuru. na unipe evidance mahari gani fujo imekuwa suluhisho la matatizo popote duniani.
Na kweli, ukichaa umekomaa. Kila mahali lugha inavurugwa...evidence nyingine hiyo hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…