DAWA YA SIKIO JF-Expert Member Dec 8, 2011 979 180 Jan 22, 2012 #8 Mlango uko wazi mkuu ! Sukuma uingie.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Jan 24, 2012 #10 Karibu sana................zunguka uani
mtekula Member Jan 19, 2012 79 11 Jan 24, 2012 #11 karibu mgeni mwenzangu sema watu wa humu wana maneno makali inabidi uwe mvumilivu lkn wakarimu sana.
monongo JF-Expert Member Oct 25, 2011 388 64 Jan 24, 2012 #12 Angalia kwanza pazia kama liko sawa mlangoni ndipo uingie sawaaa???
Matango JF-Expert Member Jan 14, 2011 535 118 Jan 24, 2012 #14 Unapata mapokezi mazuri tu karibu !!!!!