Mimba yenye utata

Nkondo 2

Senior Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
182
Reaction score
148
Hii imetokea baada ya bnt kujikuta anaujauzito mchanga wa wiki mbili ilihal ana miez miwili hajapata hedhi.
Naomba kupata uzoefu je hii hal inawezekana!!? Kama inawezekana je n nn kmetokea maana weng tunaamin mwanamke anapopata hedh ndipo tunaanza kuhesab sku zake za mzunguko wa yai had kufikia siku za upatikanaj wa mimba.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kilichotokea mimba xaxa unataka nene na kama mwanafunze miaka 30 jera
 
Pole kama unadhan nimiujiza ....sababu nying zaeza badilisha hedhi nakufanya iwe fupi au ndefu naikiwa ndefu uwezekano wayai kuchopoka Mara mbili hedhi had hedhi nikawaida ...kikubwa nikujua Ute wa uzazi .
 
Kitanda hakizai haram ndugu
Ova
 
Hiyo mimba kunamtu anatakiwa kushikishwa.Ile miezi miwili aliokua haoni hedhi ndio alipata hiyo mimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…