Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Kuna classmet wangu wa zamani anahitaji ushauri wangu;
yeye aliwahi kuolewa miaka minne iliyopita lakini aliachika kwa kushindwa kupata mtoto.miezi mitatu iliyopita aliolewa tena huku akiwa na dalili zote za mimba (kukosa hedhi,kutapika asubuhi,kiungulia,miguu kuvimba,kunenepa,kutokwa maziwa na tumbo kuongezeka ukubwa).jana alikuwa akifanya shopping ya nguo za mtoto,baada ya pitapita zake aliamua kufanya ultra sound kwani alihisi mtoto amepunguza kucheza.
Kilichoshangaza ni majibu ya ultra sound hayakuonyesha kuwepo kiumbe chochote kwenye tumbo lake.alijaribu kurudia ultra sound katika sehemu 3 tofauti but the answer was the same.
Aliangua kilio sana na sasa anahitaji ushauri ni nini amemwambie mume wake?
Wanajf nimshauri nini huyu dada?
yeye aliwahi kuolewa miaka minne iliyopita lakini aliachika kwa kushindwa kupata mtoto.miezi mitatu iliyopita aliolewa tena huku akiwa na dalili zote za mimba (kukosa hedhi,kutapika asubuhi,kiungulia,miguu kuvimba,kunenepa,kutokwa maziwa na tumbo kuongezeka ukubwa).jana alikuwa akifanya shopping ya nguo za mtoto,baada ya pitapita zake aliamua kufanya ultra sound kwani alihisi mtoto amepunguza kucheza.
Kilichoshangaza ni majibu ya ultra sound hayakuonyesha kuwepo kiumbe chochote kwenye tumbo lake.alijaribu kurudia ultra sound katika sehemu 3 tofauti but the answer was the same.
Aliangua kilio sana na sasa anahitaji ushauri ni nini amemwambie mume wake?
Wanajf nimshauri nini huyu dada?