Wadau,
Leo asubuhi wakati nimetoa mawazo mbali na matukio ya jana ya Arusha, nilifungulia 89.0 FM kipindi cha Early Morning Rise. Topic ya leo ilitoka kwa mwanaume ambaye ana ndoa ya mwaka mmoja na mtoto mmoja. Wiki nne zilizopita majambazi yaliwavamia na katika tukio hilo kama ilivyo ada wakambaka mke wake. :mad2::mad2::mad2:
Kwa maelezo waliyotuma hapo kwa mtangazaji mke wake amepima HIV na hana (ingawa sina uhakika na matokeo haya inategemea walipima lini na kutumia vipimo gani). Juzi vipimo vimeonyesha mke wake ni mjamzito. They are devastated.
Wanasema wao ni wakristo wazuri na wanaona kama kutoa mimba hiyo ni dhambi kubwa sana. Ila wana mashaka kumzaa mtoto huyo maana atakuwa anawakumbusha tukio hilo maisha yao yote.
Kama wangekuwa wamekuja kwako, ungewashaurije? Watoe mimba au wasitoe na kama wasitoe, wajipangeje ili wasije kumtesa bure mtoto asiye na makosa?
Karibuni.
Leo asubuhi wakati nimetoa mawazo mbali na matukio ya jana ya Arusha, nilifungulia 89.0 FM kipindi cha Early Morning Rise. Topic ya leo ilitoka kwa mwanaume ambaye ana ndoa ya mwaka mmoja na mtoto mmoja. Wiki nne zilizopita majambazi yaliwavamia na katika tukio hilo kama ilivyo ada wakambaka mke wake. :mad2::mad2::mad2:
Kwa maelezo waliyotuma hapo kwa mtangazaji mke wake amepima HIV na hana (ingawa sina uhakika na matokeo haya inategemea walipima lini na kutumia vipimo gani). Juzi vipimo vimeonyesha mke wake ni mjamzito. They are devastated.
Wanasema wao ni wakristo wazuri na wanaona kama kutoa mimba hiyo ni dhambi kubwa sana. Ila wana mashaka kumzaa mtoto huyo maana atakuwa anawakumbusha tukio hilo maisha yao yote.
Kama wangekuwa wamekuja kwako, ungewashaurije? Watoe mimba au wasitoe na kama wasitoe, wajipangeje ili wasije kumtesa bure mtoto asiye na makosa?
Karibuni.