Mimba tatu zimeharibika

Tatizo lako limeshagundulika huna haja ya kuhangaika. Mini Mke Wangu anatatizo kama la Mke wako mrija mmoja umeziba. Alikuwa na tatizo la kuugua kwa masaa yasiyopungua kumi mfululizo anapokuwa mwezini Ila tatizo la maumivu liliisha baada ya kufanyiwa operation ya kuzibua mirija kwa kukata na kuunga tena Ingawa operation hiyo haikufanikiwa. Nyama kubwa ilitolewa wakati wa operation ndio iliyokuwa ikimuumiza. Suala la kushika mimba mwanamke akiwa na mrija mmoja inawezekana Ila ni mtihani sana. Suluhisho la tatizo lako ni kufanya invetro fertilization hii ni kutunga mimba nje na kupandikiza ndani ya mfuko wa uzazi. Mimi Nimepata mtoto baada ya miaka kumi na tano ya ndoa kwa njia nilivyokuambia. Njia hii ni Gharama na Mimi nilifanyia nje ya nchi. Ila kwa uwezo wa Mungu Mke Wangu Alipata ujauzito kwa njia ya kawaida na kupata mtoto baada ya miaka 18 ya ndoa. Kwahiyo usihangaike hiyo ndio hali halisi ni mtihani unaohitaji subira ya Mungu kama huna uwezo wa kufanya IVF kama nilivyofanya Mimi. Ila siku hizi unaweza jaribu hata hapo Kenya kwa Gharama nafuu kati ya Dola elfu sita hadi nane Ila hii nayo ni kujaribu tu unaweza pata au kukosa Mimi nilijaribu mara tano mfululuzo hadi kuja kufanikiwa. Mungu yupo na anatenda mtegemee Yeye.
Asante sana kwa ushauri tatizo ni hizo gharama nachosubiria kwa sasa ni kufanya hicho kipimo cha HSG tena ili kuona je huo mrija bado umeziba? Na kitu ambacho sikielewi mwanamke mirija ikiziba mzunguko wake (kwa maana ya period) anapata kama kawaida?
 
Pole sana kaka
Mungu akupe moyo wa uvumilivu na kuwezeshe kukuza imani yako
Amini Mungu anaweza kufanya na atafanya
Wasiliana na hawa washauri huwa wanashauri na kutoa dawa kwa ajili ya kuzibua mirija ya uzazi 0716768855
Asante kaka kwa mawasiliano nitatawatafuta ila ngoja kwanza tufanye hiyo HSG tu majibu yanesemaje nitawatafuta
 
mkuu nenda kwa daktari mpime yawezekana mbegu zako ni sumu kwenye mwili wa mkeo.. na wakijua hilo kuna dawa utapewa mimba itatulia tu vizuri
 
Zingatia hii status na utaona muujiza wake.. Katika jina la Yesu christo aliye hai pokea hitaji la moyo wako sasa... Kama Ibrahim na Sarah mkewe walivyopokea muujiza ni Mungu yule yule hajabadirika atatenda kwako leo.. Amen
Ameen
 
kuna kitu kinaitwaa rd factor negative na rd factor postive zikiwa tofauti huwa inatokeaga hivoo mimi nashauri kapimeni groups za damu na hizoo factors
 
kuna kitu kinaitwaa rd factor negative na rd factor postive zikiwa tofauti huwa inatokeaga hivoo mimi nashauri kapimeni groups za damu na hizoo factors
Poa ushauri wako umefika nitaufanyia kazi asante
 
Pole sana...lakini waweza tumia virutubisho vya fur seal oil na phytoestrogen vitakusaidia kushika mimba kwa haraka sana na kuimarisha mfumo wako wa uzazi...wasiliana nasi kwa namba 0653299934
 
Tatizo lako limeshagundulika huna haja ya kuhangaika. Mini Mke Wangu anatatizo kama la Mke wako mrija mmoja umeziba. Alikuwa na tatizo la kuugua kwa masaa yasiyopungua kumi mfululizo anapokuwa mwezini Ila tatizo la maumivu liliisha baada ya kufanyiwa operation ya kuzibua mirija kwa kukata na kuunga tena Ingawa operation hiyo haikufanikiwa. Nyama kubwa ilitolewa wakati wa operation ndio iliyokuwa ikimuumiza. Suala la kushika mimba mwanamke akiwa na mrija mmoja inawezekana Ila ni mtihani sana. Suluhisho la tatizo lako ni kufanya invetro fertilization hii ni kutunga mimba nje na kupandikiza ndani ya mfuko wa uzazi. Mimi Nimepata mtoto baada ya miaka kumi na tano ya ndoa kwa njia nilivyokuambia. Njia hii ni Gharama na Mimi nilifanyia nje ya nchi. Ila kwa uwezo wa Mungu Mke Wangu Alipata ujauzito kwa njia ya kawaida na kupata mtoto baada ya miaka 18 ya ndoa. Kwahiyo usihangaike hiyo ndio hali halisi ni mtihani unaohitaji subira ya Mungu kama huna uwezo wa kufanya IVF kama nilivyofanya Mimi. Ila siku hizi unaweza jaribu hata hapo Kenya kwa Gharama nafuu kati ya Dola elfu sita hadi nane Ila hii nayo ni kujaribu tu unaweza pata au kukosa Mimi nilijaribu mara tano mfululuzo hadi kuja kufanikiwa. Mungu yupo na anatenda mtegemee Yeye.
Duuh! Pole sana!
 
Kati ya watu wote naona wewe ndo umetoa mchango negative. Mdau anahitaji encouragement, usiwe na roho ya Israel hivi.
Kama anataka ushauri kweli inabidi tuweke mezani visababishi vyote halafu adadavue tu mwenyewe .. Anisamehe tu kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom