kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,077
- 1,728
Nataka kujua sababu za mimba kutunga nnje ya kizazi, tatizo inakua ni mbegu za mwanaume au mwanamke ndio mwenye shida kwenye kizazi?
Pia kama ikitunga nnje ya kizazi matibabu yapi yanatakiwa kufuatwa Ili kuondoa hilo tatizo?
Pia kama ikitunga nnje ya kizazi matibabu yapi yanatakiwa kufuatwa Ili kuondoa hilo tatizo?