Mim ni mwanamke mhitimu wa environmental disaster management na Post graduate Diploma in Education

mbeho2016

New Member
Jan 6, 2017
4
3
Ndugu wadau wa Jf kwa muda mrefu nimekuwa mfuatiliaji wa mada mbali mbal za Jf. mimi ni mwanamke nimehitimu degree ya environmental disaster management miaka miaka minne iliyopita, na kutokana na changamoto za ajira nikaamua nijiendeleze katika post graduate diploma in education na masomo ya kufundisha Ni Geography na Kiswahili na kama mnavyojua ajira za masomo tajwa zipo pending. hivyo basi nina tafuta kazi katika sekta binafsi katika taaluma nilizotaja hapo juu, kwan najua hpa kuna watu wa aina mbali mbali wanaoweza nisaidia kwa namna moja au nyingne. na nipo tayr kufanya kaz sehem yoyote ile hapa tanzania. natanguliza shukran zangu za dhati kwenu.
 
Pole sana
But tuna ukame now days hata viboko wanakosa maji kule Kigoma

Huenda ofisi ya Waziri wa Muungano na Mqzingira wanakuona
 
Du hii hatari sana, lkn si wewe ni mtaalam wa majanga/disaster, lakini tambua ajira nazo hapa tz ni janga sasa kwavile wew ni mjuvi basi na hili ungawasaidia serikali kutatua
 
watu mna maneno... eti atumie digrii yake ya majanga kusaidia kutatua janga la ajira

Du hii hatari sana, lkn si wewe ni mtaalam wa majanga/disaster, lakini tambua ajira nazo hapa tz ni janga sasa kwavile wew ni mjuvi basi na hili ungawasaidia serikali kutatua
 
Ndugu wadau wa Jf kwa muda mrefu nimekuwa mfuatiliaji wa mada mbali mbal za Jf. mimi ni mwanamke nimehitimu degree ya environmental disaster management miaka miaka minne iliyopita, na kutokana na changamoto za ajira nikaamua nijiendeleze katika post graduate diploma in education na masomo ya kufundisha Ni Geography na Kiswahili na kama mnavyojua ajira za masomo tajwa zipo pending. hivyo basi nina tafuta kazi katika sekta binafsi katika taaluma nilizotaja hapo juu, kwan najua hpa kuna watu wa aina mbali mbali wanaoweza nisaidia kwa namna moja au nyingne. na nipo tayr kufanya kaz sehem yoyote ile hapa tanzania. natanguliza shukran zangu za dhati kwenu.
Njoo nikuoe tuanze life tu,mie pia ni mhanga maana hakuna namna nyingine ,
 
hizi kozi sasa mwiba na mwenzie BAGE,PPM,BA DS,PSPA,BAPA.....
 
Back
Top Bottom