sifuatilii maisha ya MTU......
wewe memory nzima ya ubongo wako imejaa habari binafsi za with (udaku) zinakusaidia nini? unatia aibu mtoto wa kiume kushadadia mada za skins dada
sifuatilii maisha ya MTU......
wewe memory nzima ya ubongo wako imejaa habari binafsi za with (udaku) zinakusaidia nini? unatia aibu mtoto wa kiume kushadadia mada za skins dada
kwakuwa umezoea kushinda na mashosti zako akina Dada unahisi kila MTU yupo hivyo mi wa kiumeni dogo sina ubongo mdogo wa kujadili habari za khanga na maneno ya uwani kama wewe.
mnatudhalilisha sana wanaume wenzenu
kwakuwa umezoea kushinda na mashosti zako akina Dada unahisi kila MTU yupo hivyo mi wa kiumeni dogo sina ubongo mdogo wa kujadili habari za khanga na maneno ya uwani kama wewe.
mnatudhalilisha sana wanaume wenzenu
hizo habari za kufwatilia penzi la akina diamond mara milad ayo mara shosti yule waachie wakina dada wajadili wakikata vitunguu wewe ni mwanaume unayeweza kufanya hayo yanayofanywa na wanaume wenzio
hizo habari za kufwatilia penzi la akina diamond mara milad ayo mara shosti yule waachie wakina dada wajadili wakikata vitunguu wewe ni mwanaume unayeweza kufanya hayo yanayofanywa na wanaume wenzio
Kumbe kuwa dubai nayo ni mafanikio au achievement mpaka mtu apewe hongera? Sasa na wale wanaokatiza pande hizo mara mbili au tatu kwa mwezi ndo inakuwaje sasa?
Kumbe kuwa dubai nayo ni mafanikio au achievement mpaka mtu apewe hongera? Sasa na wale wanaokatiza pande hizo mara mbili au tatu kwa mwezi ndo inakuwaje sasa?
Kwa wale ambao tunajua alipotokea mwana habari huyu machachali, tunaweza kusema amefanikiwa kwa kiasi chake, pia ukumbuke kaenda kule kwa ajili ya kazi sio kuzurula kama hao wengine
Kwa wale ambao tunajua alipotokea mwana habari huyu machachali, tunaweza kusema amefanikiwa kwa kiasi chake, pia ukumbuke kaenda kule kwa ajili ya kazi sio kuzurula kama hao wengine