Military Science

Military Science

HFOOO

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
683
Reaction score
652
Wakuu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa, Naomba kwenda kwenye mada hapo juu kuna mtoto wa ndugu yangu alienda Jkt ni mhitimu wa form 6, sasa kaniambia amemua kwenda kuchukua hiyo course ya military science najuwa kuwa ni kazi za jeshini.Je!swali langu hii course akihitimu anaingia kwenye ngazi ya cheo gani cha kijeshi?

Naombeni kupata maelezo yenu wadau naimani mko hapa mlioko kwenye idara hii, sisi migambo wa jiji haya mambo ni shida isije kuwa nimelishwa matango pori na dogo.
 
Yani hata uwe na masters ya urubani sasa hivi jeshini hauanzii na cheo zaidi ya sergeant kushuka chini.
 
Wakuu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa, Naomba kwenda kwenye mada hapo juu kuna mtoto wa ndugu yangu alienda Jkt ni mhitimu wa form 6, sasa kaniambia amemua kwenda kuchukua hiyo course ya military science najuwa kuwa ni kazi za jeshini.Je!swali langu hii course akihitimu anaingia kwenye ngazi ya cheo gani cha kijeshi?

Naombeni kupata maelezo yenu wadau naimani mko hapa mlioko kwenye idara hii, sisi migambo wa jiji haya mambo ni shida isije kuwa nimelishwa matango pori na dogo.
Nafikiri huyo mtoto ungemuuliza angekujibu maswali mengi sana mengine tunashindwa kuyajibu maana maadili hayaruhusu
 
Nafikiri huyo mtoto ungemuuliza angekujibu maswali mengi sana mengine tunashindwa kuyajibu maana maadili hayaruhusu
Tatizo yeye nae haelewi mkuu nimejaribu kumhoji sana ila ni bado hawezi fafanunua
 
Military science hiii kozi haiwahusu wanajeshi pekee???
 
Tatizo yeye nae haelewi mkuu nimejaribu kumhoji sana ila ni bado hawezi fafanunua
Duuuh alikuwa kikosi jeshi gani?? Anataka kwenda kusoma kitu ambacho hakifahamu??
 
Military science hiii kozi haiwahusu wanajeshi pekee???
Hapana, hii kozi inatolewa kwa ushirikiano na vyuo vya kiraia ambavyo ni Mandela varsity na chuo cha uhasibu Arusha.
.
Kumbuka TMA ni Academy tu.
Lakini huwezi kutoka straight mtaani kwenda kusoma hii kozi JKT lazima
 
Tatizo yeye nae haelewi mkuu nimejaribu kumhoji sana ila ni bado hawezi fafanunua
Hapo ndipo matatizo yanapoanzia katika nchi yetu pendwa. Yaani mtu anasomea kitu asichokijua? Hii ipo sawa kweli, hawa si ndio wanaojipenyeza majeshini kwaajiri ya fedha tu bila uzarendo na nia ya kweli ya kulitumikia taifa? Kazi tunayo.
 
Inakuwaje ndugu katika kazi nilikuwa nataka kuuliza hivi muhitimu wa kidato cha sita anawezaje kujiunga na chuo cha Tanzania military academy (TMA)?
 
Back
Top Bottom