Milioni 150 Rais Samia kaipata wapi?

Je, sio kweli kila siku zikijengwa shule, zahanati, brbr na kila ktu tunaelezwa kuwa Rais wetu Mh. Dr....katoa sh. xyz kwa ajli ya maendleo ya waTz...! nk. na watu hawaulizi kama ni ktoka mfkoni kwke au wp! Hayo mapambio yanayoimbwa kumsifu kila atoapo, yataendelea kwani ndivo waTz wanavoonekana kupenda! Kama hizo zngne tmeshndwa kuuliza anaztoa wp, kuuliza hzi 150m. zimetoka wp itaonekana ni kutafta uchokoz na utaonekana mpnzni...nk. Yako meengi ya kuuliza, sio hilo tu, fuatilia utaona ...nk
 
Hizo ni mali za Mbowe zinarudishwa kimtindo.
 
Hapa 👇

View: https://www.instagram.com/p/C1kSOW5oS1K/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Watu wanasema hata DPW anatakiwa kujenga misikiti 900 Hv nchi nzima ndio moja makubaliano yaliyojificha kwenye mkataba.Ndio ujue sasa kwamba viongozi wa serikali wamekuwa wehu sasa maana hawafanyi tena kazi ya mwananchi sasa wamehamia kwenye kutangaza dini.
 
Hii nchi inawatu wajinga na wapumbafu sana kwani viongozi wangapi wamejenga misikito/makanisa??
 
Binafsi nafikir ingependeza waandike Rais kachangia kuliko SSH kachangia maana Rais ni taasis na sio mtu
 
Huyu mama na mbowe wanajuana..huenda hata ni wapenzi
 
Hizi rushwa zinagari u nchi
 
Uongozi unanunuliwa Kwa Hela zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…