Popote Tanzania siku hizi viongozi husema Rais amewapelekea pesa.
Watu wote (watumishi wa serikali,wanasiasa na raia wengine wanajua kwamba pesa zote za Tanzania ni za Rais (utani tu).
Pesa zake aweza kugawa anavyotaka, hakuna wa kuuliza.
Hata hivyo, zile alizotoa kanisani hazihusiani na serikali, familia imetajwa. Familia ya Rais haiwezekani ikose 150m katika mazingira ya kawaida siku hizi.