Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Timu ya soka ya Singida Fountaingate ya mkoani Singida imeingia mkataba na Shirika la Ndege la Precision Air la Tanzania kuwa Msafirishaji wake.
Mkataba huo umelenga pia katika kutoa punguza la bei pamoja na kutoa tiketi za bure bila kusahau viongozi wa timu hiyo wanaingia moja kwa moja kuwa Mabalozi wa Shirika hilo la Ndege.
Mkataba huo umelenga pia katika kutoa punguza la bei pamoja na kutoa tiketi za bure bila kusahau viongozi wa timu hiyo wanaingia moja kwa moja kuwa Mabalozi wa Shirika hilo la Ndege.