manka mpalestina
Member
- Dec 19, 2011
- 32
- 4
mileg less laki moja,manual au auto ,milango 5.naomba wenye uelewa wa haya mambo ya magari wanisaidie .aksanten
kwa nini watu wavivu wa kuagiza magari toka japan au uingereza direct?
Usumbufu wa TRA +usumbufu Bandarini+Wizi wa Vipuri=Frustrations
Usumbufu wa TRA +usumbufu Bandarini+Wizi wa Vipuri=Frustrations