Milio ya risasi Arusha

Milio ya risasi Arusha

Last 3 weeks kuna risasi ziliskika around sakina na zikawa verified that's why nimehusisha na hilo tukio.
Sakina mkuu apo nilikuepo si wajinga flani ivi wamelewa ss sijui mmja akamsoma mwenzake akamwonesha mguu wa kuku na jamaa kumbe nae anayo ziliruka kadhaa na mm bila woga nikatoka nikawa naelekea seheme nipopaki kiusafiri kangu.. Mi watu iko chini imejilaza inaogopa risasi.. Me nasema izi sio kam za kule dar hazimfati mtu.. Zinapeperuka tu
 
ha ha ha ha...... Jamaa katoa maelezo marefu? milio yote ya silaha namna ile inawezekanahe aisee
Nilikua chemba mkuu, nkajua kimenuka ujue cyo wote tunakaa uswahilini kuna wengine hua hatuskii hiyo makitu mara kwa mara
 
Nilikua chemba mkuu, nkajua kimenuka ujue cyo wote tunakaa uswahilini kuna wengine hua hatuskii hiyo makitu mara kwa mara

Uswahilini ndo hakuna kabisa milio ya risasi! Kama wewe ni mkaaji maeneo yanayoeleka yasiyo uswahilini ni: Njiro, Sakina, Uzunguni, may be Moshono, au hata Kisongo, na huko risasi ndo zaweza kuwa kawaida
 
Ulisikia wahindi wakisherehekea sikukuu yao inayoitwa "DIWALII"
Naifahamu coz niliwahi kutumia 'Taj mahal' kama case study ila hua sifuatilii tarehe coz jamaa hua siwakubali sana
 
Uswahilini ndo hakuna kabisa milio ya risasi! Kama wewe ni mkaaji maeneo yanayoeleka yasiyo uswahilini ni: Njiro, Sakina, Uzunguni, may be Moshono, au hata Kisongo, na huko risasi ndo zaweza kuwa kawaida
Jana nilikua TULIA house mitaa ya white rose nilivyoskia mlio nkajua jamaa wamenisomea ramani wanakuja kubeba kamzigo kangu...cjalala yaan xaiv ndo nmekumbuka wahindi wako kwenye diwali.
 
Fataki za wahindi sikukuu zao za diwali; hata hapa jiji la makonda Jana zilisikika
 
Hivi ukikumbatia rozari na bibilia risasi haitakupata kumbe ? Mimi najua kuwa neno la Mungu linapaswa likae ndani yako kwa kusoma bibilia na kutenda kama mungu anyotutaka katika neno lake. Kukumbatia bibilia ni bure bila kusoma na kuelewa kilichoandikwa humo ndani
Kinjekitile Ngwale..
 
Back
Top Bottom