Tozonia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 689
- 735
Sakina mkuu apo nilikuepo si wajinga flani ivi wamelewa ss sijui mmja akamsoma mwenzake akamwonesha mguu wa kuku na jamaa kumbe nae anayo ziliruka kadhaa na mm bila woga nikatoka nikawa naelekea seheme nipopaki kiusafiri kangu.. Mi watu iko chini imejilaza inaogopa risasi.. Me nasema izi sio kam za kule dar hazimfati mtu.. Zinapeperuka tuLast 3 weeks kuna risasi ziliskika around sakina na zikawa verified that's why nimehusisha na hilo tukio.