Mikutano ya UKAWA yaanza kudorora

Mikutano ya UKAWA yaanza kudorora

jaba jumah

Senior Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
150
Reaction score
50
Kutokana na kile kinacho semekana ni kupaniki mikutano ya UKAWA yaanza kupoteza dira mahudhurio yaanza kuwa hafifi sana kitu kinacho ashiria kuwa wananchi walio wengi wamechoshwa na baadhi ya viongozi wao kuwa wana hutubia dakika tano au tatu ishu ambayo kwao wameona kama dharau kubwa sana kwa sababu wanadai wanaacha shughuli zao mwishowe inakuwa batili,,huku baadhi ya wananchi na wanachama wakipongeza ccm na umahiri wa mgombea wao ndugu magufuli ambaye anazungumza zaid ya dakika 45 kwa umahiri na ustawi wa hali ya juu.
 
Bwana jaba unajishushia heshima kwa kuanzisha viuzi vya uongouongo kila dakika,kila mtu ana njaa lakini naona yako imezidi.CCM OUT
 
Last edited by a moderator:
Mbona umesahau maccm yanavyotumia malori kubeba wahutubiwaji?? Watu hawataki longolongo,jk alikuwa anaongea zaidi ya lisaa,na istoshe kila mwisho wa mwezi × miaka 10 ili kupumbaza watu,lkn yako wapi???! Fisiem bwana
 
Mbona umesahau maccm yanavyotumia malori kubeba wahutubiwaji?? Watu hawataki longolongo,jk alikuwa anaongea zaidi ya lisaa,na istoshe kila mwisho wa mwezi × miaka 10 ili kupumbaza watu,lkn yako wapi???! Fisiem bwana
Unadhani kutembea kwa miguu ndio sifa? Hivi una baiskeli haina kazi hapo kwako kwa nini mwanao aende kwa mguu shule? Hayo makanisa tu yana mabasi ya kupeleka waumini kanisani na kurudi sembuse iwe CCM kuwatafutia wanachama wake usafiri wa kuhudhuria mikutano kumsikiliza mgombea wao? Huu siyo muda wa kutesana ukawa mnaongelea mabadiriko gani sasa?
 
Unadhani kutembea kwa miguu ndio sifa? Hivi una baiskeli haina kazi hapo kwako kwa nini mwanao aende kwa mguu shule? Hayo makanisa tu yana mabasi ya kupeleka waumini kanisani na kurudi sembuse iwe CCM kuwatafutia wanachama wake usafiri wa kuhudhuria mikutano kumsikiliza mgombea wao? Huu siyo muda wa kutesana ukawa mnaongelea mabadiriko gani sasa?

achana nao hao bwana, wataharishia kwenye magari bora watembee. siku ile lowassa kapanda daladala ilikuwa bahati kweli hakuharibu mle ndani au alikuwa na pad?
 
kutokana na kile kinacho semekana ni kupaniki mikutano ya ukawa yaanza kupoteza dira mahudhurio yaanza kuwa hafifi sana kitu kinacho ashiria kuwa wananchi walio wengi wamechoshwa na baadhi ya viongozi wao kuwa wana hutubia dakika tano au tatu ishu ambayo kwao wameona kama dharau kubwa sana kwa sababu wanadai wanaacha shughuli zao mwishowe inakuwa batili,,huku baadhi ya wananchi na wanachama wakipongeza ccm na umahiri wa mgombea wao ndugu magufuli ambaye anazungumza zaid ya dakika 45 kwa umahiri na ustawi wa hali ya juu.

wanaipongeza ccm kwa lipi kutmia kodi zetu kwa ajili ya kamapeni we mburura mkubwa
 
Umenunuliwa shilingi ngapi? Mikutano yote ya Ukawa watu wanaenda wenye bila kusombwa kwenye malori. Kazi imekwisha watu walisha toa mahamuzi kuwa watamchagua Lowassa hata mkisema nini hawabadiriki wamewazoea. 150Bilioni zinafanya kazi.
 
Mikutano iliyofifia ni ya ccm ukawa mbona imezidi kujaza hadi kupitiliza
 
ngoma nyeupeee kwa dkt magufuli kwani hatuwezi kumpa nchi mtu asiyekuwa na uwezo wa kuzungumzia hatma ya nchi yetu dhidi ya masuala kadha wa kadha ya nchi yetu
 
mimi sina tatizo na ukawa na nilitegemea kweli muda wa mabadiliko umefika ila baada ya ujio wa lowassa ambaye ndio kocha wa mafisadi yaliyokuwa ccm na sumaye fisad kubwa kuingia kwa wanamabadiliko tena kuwa eti majemedari na mtandao wao wa kifasd wote toka ccm wala siwezi uunga mkono ujinga wa ukawa tena
 
Safu ya Ukawa Edward Lowassa, Fredrick Sumaye na Lawrence Marsha , mawaziri wastaafu waliotumikia CCM katika vipindi tofauti, waliki kati yao nyadhifa za juu kabisa ndani ya baraza la mawaziri eti leo hii ndo Ukawa wanahisi wataleta mabadiliko!!! CCM imeteka Ukawa.
 
Kutokana na kile kinacho semekana ni kupaniki mikutano ya UKAWA yaanza kupoteza dira mahudhurio yaanza kuwa hafifi sana kitu kinacho ashiria kuwa wananchi walio wengi wamechoshwa na baadhi ya viongozi wao kuwa wana hutubia dakika tano au tatu ishu ambayo kwao wameona kama dharau kubwa sana kwa sababu wanadai wanaacha shughuli zao mwishowe inakuwa batili,,huku baadhi ya wananchi na wanachama wakipongeza ccm na umahiri wa mgombea wao ndugu magufuli ambaye anazungumza zaid ya dakika 45 kwa umahiri na ustawi wa hali ya juu.

Umeshajamba
 
ntamchagua muadilifu na mchapa kazi ambaye ni dkt john pombe magufuli popote atakapokuwa kwani naamini maendeleo hayana chama
Hebu nipe tafsiri sahihi ya Hapa kazi tu?

Ngoja nikusaidie kidogo tafsiri zake miongoni mwake;

1. Hapa kazi tu kupiga dili.
2. Hapa kazi tu kuzitafuna rasilimali za nchi yetu kwa wale wenye meno.
3. Hapa kazi tu kupiga push ups za kufa mtu.
4. Hapa kazi tu kutembeza takrima kwa wale wanaohudhuria mikutano yetu ya kampeni.
5. Hapa kazi tu za kusombana na malori kwenda kwenye mikutano ya kushuhudia fiesta za bongo flava.

Hebu na wewe ongezea zako.
 
Unadhani kutembea kwa miguu ndio sifa? Hivi una baiskeli haina kazi hapo kwako kwa nini mwanao aende kwa mguu shule? Hayo makanisa tu yana mabasi ya kupeleka waumini kanisani na kurudi sembuse iwe CCM kuwatafutia wanachama wake usafiri wa kuhudhuria mikutano kumsikiliza mgombea wao? Huu siyo muda wa kutesana ukawa mnaongelea mabadiriko gani sasa?

Dozi imekuingia
 
Back
Top Bottom