Wakuu mwisho wa kuomba mkopo kwenye bodi ya mikopo ni lini?
Wakuu mwisho wa kuomba mkopo kwenye bodi ya mikopo ni lini?
Wakuu mwisho wa kuomba mkopo kwenye bodi ya mikopo ni lini?
Wakuu mwisho wa kuomba mkopo kwenye bodi ya mikopo ni lini?
Wakuu mwisho wa kuomba mkopo kwenye bodi ya mikopo ni lini?
Mnazani wote tunakaa mjini? Wengne tumemaliza foim 6 na kwenda kijiji kuchunga ng'ombe zaidi ya kilomita 320 kuja mjin. Na huku kwa babu ni zamu kuchunga ng'ombe. Kilichonisaidia kusoma ni yeyebo. Juz ndo nimepata hela na kununua haka ka cmat fone ndo nikaona nijiunge jf na kuuliza. Munanilaumu mimi ama selikari ya kikwete? Hapa ndo tulpofkshwa na serikali kziwi na kpofu.