Mikopo ya mitandaoni ilitaka iniue

Muongo. Huwezi kuja tapeli mtu unajichanganya tu kwenye maelezo sababu u kilaza. Na huelewi hata namna ya kutapeli. Huna lolote kibaka kilaza. Shule hamjafungua? Hata kuandika ku make sense hujui.
 
Mtu kama wewe una pepo la umaskini ukitajirika niite mbwa
.kutajirika kuna kanuni zake mojawapo ni kukopa na kulipa bila longolongo au 8janja ujanja
Hivi unaweza kutajirika Kwa 20K?
Kweli wewe mmbwa ulie katwa mkia,nani amekuambia nahitaji utajiri?
Tukileta thread za kufanywa fulsa (kupigwa) mnatuona mandezi ila kinyume chake mnaanza kuleta pigo za kutia huruma
Kuna mikopo ya kukopa mfano Bank lkn hivi vya mtandaoni mtakoma wenyewe
 
Hivi hawa wanao kopesha watu mitandaoni wako sawa kiakili? Unampa mtu hela hujui atarudisha vip?

Ukibadilisha laini?
Ndo maana riba ni kubwa kwa sababu ni ina risk kubwa.

Hii ni mikopo ya dharura na inabidi itumike hivyo kama dharura. Inatakiwa ilipwe kwa mida mfupi kama siku 7 au 14. Na inabidi iwe ni kwa kiasi kidogo kama buku 10 hadi laki.

Mimi nawashauri watu wakope mtandaoni pale tu wanapokuwa na dharura na wana uhakika wa kurejesha. Kwa mfano ni tarehe 18, mshahara unatoka tarehe 23 au 24 unahitaji 50,000 ya nauli kwa siku zilizobakia, au unaumwa unahitaji dawa ambazo haziko kwenye bima na una uhakika utapata mshahara utarejesha.

Usikope mtandaoni kufanya biashara. Mikopo ya biashara ipo na ina riba ndogo na ya muda mrefu. Tusichanganye mambo.

Mimi kwa mfano hizi songesha zinanisaidia sana wala sina malalamiko. Nakopa nalipa, nakopa nalipa, maisha yanasonga.
 
Usipo walipa wanakufanyaje? Si hawajui kwako unawablock?
 
Wewe utakuwa mojawapo mtumishi wa hizi kampuni za kitapeli za online
 
We wakope tu songesha utawalipa hata 2030 ukipata pesa ya usimamiz wa uchaguzi mkuu hawanaga shida hawa wanangu nawapenda sana Riba unajipangia uwalipe ikifika ngapi🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…