Mikopo ya Mama Salma Kikwete

Mikopo ya Mama Salma Kikwete

EagerBee

Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
34
Reaction score
0
Wakuu naombeni mnijuze juu ya mikopo ya huyu mama,Leo Star TV walirusha kipindi cha marudio ya siku ya wanawake duniani na kuna mama mmoja alisema eti ma Salma anatoa mikopo ya laki mbili riba yake ikiwa ni elfu hamsini?je apo kuna mkopo kweli
 
Umbea huu jiapange kupata ukweli kabla hujaleta mada mkuu.
 
Wewe ndiye umesema umeskia sasa unatuuliza tena siye??
 
Wakuu naombeni mnijuze juu ya mikopo ya huyu mama,Leo Star TV walirusha kipindi cha marudio ya siku ya wanawake duniani na kuna mama mmoja alisema eti ma Salma anatoa mikopo ya laki mbili riba yake ikiwa ni elfu hamsini?je apo kuna mkopo kweli
Mkuu jaribu kujipambanua kidogo unauliza au unatuambia make hueleweki kama ni tarifa au swali.
 
Kama wakuu hamjasoma mada vizuri ni bora msijibu,soma kwa umakini ndo ucomment
 
Back
Top Bottom