MIKOPO YA HESLB

MIKOPO YA HESLB

SamuraiJack

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2017
Posts
300
Reaction score
349
Habarini wana JF wenzangu,

Naomba kuuliza! Kwa hawa wadogo zetu waliomaliza form 6 ni wazi hata matokeo hayajatoka kwa maana hiyo hata vyeti vyao vya form six pia havijatoka. Sasa mtu akitaka kuomba mkopo anaambatanisha vyeti gani?

Msaada jamani niweze kumsaidia dogo na hizi applications.
 
Vyeti vya from four Mara nyingi ndivyo vinavyo tumika
 
Habarini wana JF wenzangu,

Naomba kuuliza! Kwa hawa wadogo zetu waliomaliza form 6 ni wazi hata matokeo hayajatoka kwa maana hiyo hata vyeti vyao vya form six pia havijatoka. Sasa mtu akitaka kuomba mkopo anaambatanisha vyeti gani?

Msaada jamani niweze kumsaidia dogo na hizi applications.
Kaka wa mtu, aliekwambia muda wa maombi tiyari ni nani?
kama ni mtu kwa nini asikupe taarifa sahihi?
Ingia hiyo web ya HESLB mahitaji yao wanaweka huko utajua nini cha kufanya
 
Back
Top Bottom