Mikopo ya haraka inapatikana

asije kuwa anaandika kupima upepo wa jazba ndo apange riba na masharti... smart move though..
 
Du!huku tunakoelekea sasa sijui wapi??riba asilimia 35??hata haya mabenki riba ndo hizohizo kwasasa sijui wnalengo la kutuwezesha kweli au wanazuga tu
 

Huo mkopo unaanzia sh ngapi hadi sh ngapi?
 
Upumbavu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kidogo info zako ziko nyepesi, wazo zuri, unakopesha kwa riba(ila ni kubwa mno, ungefanya 25%), pia weka details zako zote, unaogopa nini?
 

Bado mnaendelea na hii biashara? Wezi wakubwa, riba 35% kwa mwezi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…