Ndugu yangu hata ulichonacho sasa kuna ambao hawana wanataman kua nacho one day so please be calm ,panga mashambulizi pambana sababu maisha hayasimama either uwin au yakushinde ,so kama unataka kuwin zidisha mapambano kama unataka kulose poteza hope ,wengi bado tunaishi nyumba za kupamba tunawaza nikipata kibanda tu basi nimewin maisha ,ndugu unakibanda una biashara na una afya hiyo tosha kabisa kuendelea kukusimamisha wewe kuwa wewe ,never lose hope maisha ni wewe mwenyewe kamwe usimtazame mwengine ,be strong pambana mpaka kieleweke pia kumbuka kumuomba sana Mungu ndio comfort kubwa ya wanadamu ,tumia muda wako wa ziada kukumbuka mazuri yako na si mabaya yako pia fanya vitu vinavyokupa furaha and tafuta unaemuamin huenda akawa mama,baba,ndugu,rafiki,mke etc kaa nae chini mueleze mambo yako na yapi unawaza kuyafanya sharing itakupa comfort sana ila hakikisha tu unaongea na mtu sahihi sio kueleza kwa kila mtu utakuza tatizo