Mikopo ya Benki imeniadhiri kisaikolojia!

Mikopo ya Benki imeniadhiri kisaikolojia!

Maguge Maguge

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
2,734
Reaction score
1,781
Ndg Wana Jamvi, neema ya bwana iwe nanyi nyote!

Mwenzenu yamenikuta, sijui hata ninakoelekea ni wapi.

True story:

Nilifungua biashara ya electroncs mwaka 2007, Mwaka 2009 nikawa nimemaliza kujenga ka kibanda.

Nikaenda benki moja kukopa, niliwalipa na kumaliza deni kabla ya muda,

Nikakopa tena, nikalipa nikamaliza,
Nilikuwa mteja bora nikapanda kiwango cha kukopa;

Nikajenga ka kibanda ka pili,nikanunua ka usafili
Maisha yakawa yanaenda vizuri,

Nimekopa hadi awamu 9.
Lakini ilipofika awamu ya saba mtaji uliyuma sana, biashara ilianza kwenda vibaya, nikikuwa naamini kwamba biashara yangu haieksipai lakini kilichonikuta,

Ziliingia kwa kasi bidhaa zenye usb port, flat screen, mara fununu za kuzimwa matoleo fulani ya simu,

cd na tape zikapuuzwa,

mara eti Tv za kisogo hazitafanya kazi,

Na hapo tayari nikawa nishachoka kabisa!! Na ni
ndani ya mda mfupi ambao nilikuwa na mzigo wa pesa nyingi, (hapo nimetoka nje ya nchi na mali ya kutosha) na nilikuwa muuzaji wa rejareja, kwa hiyo nikawa sipati hela ya kurejesha mwezi ukiisha, hivyo nikaanza kuwa nakopa kwa watu ili nikalejeshe!
Nikaanza kupiga mnada zile mali ili ziishe!

hii ilinifanya kuishi kwa kuhamishahamisha madeni,
Kwa kuwa nilikuwa siuzi vizuri hata fedha kwa ajiri ya watoto wa shule zikabaki ni za kukopa,

Nilianza taratibu kuwa nasikia moyo unalipuka katika mtindo fulani, nadhni ilikuwa kukosa utulivu wa Ki mawazo.

hali hii nilihisi itanipelekea kupata BP, nikaanza kufanya mazoezi ya kuipotezea.

Ilipofika mwezi wa pili mwaka huu, nilishindwa kabisa kurejesha pesa benki, nikiwa nimebaki na madeni ya 25,000,000/-
Nikauza kile ki usafiri.

Nikaendelea na mazoezi ya kuyachukulia poa matatizo yangu. Mwisho ile hali ikaisha, nikawa mpuuzi sana nikayaona kama hayakuwa na uzito wowote!

Sasa mziki ukaja, Nikawakabidhi nyumba moja benki wauze wenyewe kuepuka stres
pale nilipoamua nikakae nyumbani kuendeleza kiduka kilichokuwepo home, baada ya kufunga lile duka la electronics

Watu wana mazowea ya kukutana na tatizo kidogo, wananuna, ukimsemesha kidogo anakwambia niache, nina stres!

Wapuuzi sana hao!

Ndugu yangu,

Hali ni mbaya sana, mteja anaweza kuniambia nipe sigara tatu na kiberiti nikampa sigara moja halafu nikawa nimesahau kingine, mpaka aseme tena nimesema tatu na kiberiti ndipo akiri hustuka kidogo, akija mwingine, nipe sabuni ya unga ya mia mbili,ya kipande ya mia mbili, nampa vyote, (labda kanipa 2000) namuuliza na nn tena anajibu hamna kingine, pengine najikuta nimemrudishia chenji yake na hela aliyonipa, nasikia tu " hii ndiyo niliyokupa" yaani kila kitu sasa hakiendi!!

Na kwa sasa sina mtu anaeweza kuwa katika shughuli hii hata sielewi cha kufanya.

Na kwa hayo yote naamini yametokana na mikopo maana zamani sikuwa hivi!

Na nimefanya biashara miaka 26, hiyo biashara iliyofilisika haikuwa ya kwanza kwangu ila huwa nabadilisha biashara kutokana na wakati na mazingira pia


Sasa mwenzenu yamenikuta!!
 
Duuh pole sana mkuu ila usikate tamaa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka,ila jitahid kuweka akil zote unapokuwa unamuhudumia mteja kwan utazid kupata hasara kwa dizain hiyo ya kusahau au wateja wanaweza kuhis ww sio mwaminifu
 
Duuh pole sana mkuu ila usikate tamaa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka,ila jitahid kuweka akil zote unapokuwa unamuhudumia mteja kwan utazid kupata hasara kwa dizain hiyo ya kusahau au wateja wanaweza kuhis ww sio mwaminifu
Asante!
Nashukuru pia kwa ushauri, ila naamka nafungua nikiwa silias, hoja hizo zinazojitokeza nazo najaribu kukabiliana nazo na kuamua kuweka hapa hii stori ni pamoja na kutaka kushea na watu wanipe mawazo!
 
Duuh,, pole sn hii mikopo ya Benki si mchezo watu wameuza Viwanja,, Magari,, Nyumba,,ili tu wamudu kulipa hiyo mikipo,! Wengine walikopa ili wafanye biashara ya kuuza bidhaa ama huduma huko Serikalini pia nao wako kwenye kilio Kama chako,, Serikali hailipi madeni Riba za kibenki zinazidi kupaa ,, Lakini serikali haijali kulipa madeni yetu inanunua ndege.
Acha tuendelee kuisoma Namba tuone mwisho wake.
 
Pole sana mkuu, hayo ni mapito, biashara zina kupanda na kushuka. Maisha pia wakati mwingine huwa na myumbo hayawezi kuwa tambarare kama unavyofikiri. Ukiwa mhangaikaji tegemea hali kama hizo na usifikiri sana ulikotoka, unahitaji kukubali hali uliyokuwa nayo kwa sasa na ukiwa kama mwanaume endeleza mapambano tu ipo siku graph itarudi juu, maisha ni vita ukishindwa unarudi nyuma unajipanga upya then unasonga mbele tena, kila mtu humkuta hayo wewe sio wa kwanza bro watu huwa hatuongei tu ni kupiga moyo konde na kusonga mbele, wengine wanamakubwa zaidi yako ambaye hata umebaki na kibanda kimoja cha kuishi na duka la kawaida, kizuri zaidi una viungo vyote na uhai piga kazi mambo yatakaa sawa tu.
Usipende kukaa mwenyewe, jichanganye na watu kwenye maongezi angalau akili inaweza kusahau..
 
Pole sana chief. Relax jipange upya kama bado una afya mikono na miguu huna haja ya kuwa na hofu.
Utafanikiwa sana tu na kutoka hapo bondeni hiyo Hali kila mtu aliyefanikiwa kaipitia.

Jipe moyo ila ukiamini ktk waganga na uchawi vitakugharimu
 
Ndg Wana Jamvi, neema ya bwana iwe nanyi nyote!

Mwenzenu yamenikuta, sijui hata ninakoelekea ni wapi.

True story:

Nilifungua biashara ya electroncs mwaka 2007, Mwaka 2009 nikawa nimemaliza kujenga ka kibanda.

Nikaenda benki moja kukopa, niliwalipa na kumaliza deni kabla ya muda,

Nikakopa tena, nikalipa nikamaliza,
Nilikuwa mteja bora nikapanda kiwango cha kukopa;

Nikajenga ka kibanda ka pili,nikanunua ka usafili
Maisha yakawa yanaenda vizuri,

Nimekopa hadi awamu 9.
Lakini ilipofika awamu ya saba mtaji uliyuma sana, biashara ilianza kwenda vibaya, nikikuwa naamini kwamba biashara yangu haieksipai lakini kilichonikuta,

Ziliingia kwa kasi bidhaa zenye usb port, flat screen, mara fununu za kuzimwa matoleo fulani ya simu,

cd na tape zikapuuzwa,

mara eti Tv za kisogo hazitafanya kazi,

Na hapo tayari nikawa nishachoka kabisa!! Na ni
ndani ya mda mfupi ambao nilikuwa na mzigo wa pesa nyingi, (hapo nimetoka nje ya nchi na mali ya kutosha) na nilikuwa muuzaji wa rejareja, kwa hiyo nikawa sipati hela ya kurejesha mwezi ukiisha, hivyo nikaanza kuwa nakopa kwa watu ili nikalejeshe!
Nikaanza kupiga mnada zile mali ili ziishe!

hii ilinifanya kuishi kwa kuhamishahamisha madeni,
Kwa kuwa nilikuwa siuzi vizuri hata fedha kwa ajiri ya watoto wa shule zikabaki ni za kukopa,

Nilianza taratibu kuwa nasikia moyo unalipuka katika mtindo fulani, nadhni ilikuwa kukosa utulivu wa Ki mawazo.

hali hii nilihisi itanipelekea kupata BP, nikaanza kufanya mazoezi ya kuipotezea.

Ilipofika mwezi wa pili mwaka huu, nilishindwa kabisa kurejesha pesa benki, nikiwa nimebaki na madeni ya 25,000,000/-
Nikauza kile ki usafiri.

Nikaendelea na mazoezi ya kuyachukulia poa matatizo yangu. Mwisho ile hali ikaisha, nikawa mpuuzi sana nikayaona kama hayakuwa na uzito wowote!

Sasa mziki ukaja, Nikawakabidhi nyumba moja benki wauze wenyewe kuepuka stres
pale nilipoamua nikakae nyumbani kuendeleza kiduka kilichokuwepo home, baada ya kufunga lile duka la electronics

Watu wana mazowea ya kukutana na tatizo kidogo, wananuna, ukimsemesha kidogo anakwambia niache, nina stres!

Wapuuzi sana hao!

Ndugu yangu,

Hali ni mbaya sana, mteja anaweza kuniambia nipe sigara tatu na kiberiti nikampa sigara moja halafu nikawa nimesahau kingine, mpaka aseme tena nimesema tatu na kiberiti ndipo akiri hustuka kidogo, akija mwingine, nipe sabuni ya unga ya mia mbili,ya kipande ya mia mbili, nampa vyote, (labda kanipa 2000) namuuliza na nn tena anajibu hamna kingine, pengine najikuta nimemrudishia chenji yake na hela aliyonipa, nasikia tu " hii ndiyo niliyokupa" yaani kila kitu sasa hakiendi!!

Na kwa sasa sina mtu anaeweza kuwa katika shughuli hii hata sielewi cha kufanya.

Na kwa hayo yote naamini yametokana na mikopo maana zamani sikuwa hivi!

Na nimefanya biashara miaka 26, hiyo biashara iliyofilisika haikuwa ya kwanza kwangu ila huwa nabadilisha biashara kutokana na wakati na mazingira pia


Sasa mwenzenu yamenikuta!!
Mkuu kwanza hongera,nikikupa pole ntakua sijakutendea haki,uko vizur kibiashara,hayo yaliyokukuta nikawaida kwa mfanyabiashara nguli kama ww,angaliaumekosea wapi then fanya michakato ujue ulikosea wapi,utarudi kwenyekey mkuu,nilikuwa namsikia Dangote,alifilisika sichini ya mara kumi na,nilimsoma Trump amefilisika zaid ya mara tano,ila usipanic ukipanic umekwisha! amin tuu kuwa hii ni meli imekuacha,ikirudi tena utakua ni mmoja wa abiria wake,usikubali ikuache tena
 
Pole sana mkuu, ila fahamu maisha yana formula kuu mbili YES & NO.

Ukiona utamu unazidi, jiandae kwa uchungu. Na ukiona uchungu umezidi, jiandae kwa utamu.

Uvumilivu na utulivu wa kifikra, ndio utakao kutoa katika hali yoyote ile. Cha msingi kubali matokeo na usikate tamaa.
 
Ndg Wana Jamvi, neema ya bwana iwe nanyi nyote!

Mwenzenu yamenikuta, sijui hata ninakoelekea ni wapi.

True story:

Nilifungua biashara ya electroncs mwaka 2007, Mwaka 2009 nikawa nimemaliza kujenga ka kibanda.

Nikaenda benki moja kukopa, niliwalipa na kumaliza deni kabla ya muda,

Nikakopa tena, nikalipa nikamaliza,
Nilikuwa mteja bora nikapanda kiwango cha kukopa;

Nikajenga ka kibanda ka pili,nikanunua ka usafili
Maisha yakawa yanaenda vizuri,

Nimekopa hadi awamu 9.
Lakini ilipofika awamu ya saba mtaji uliyuma sana, biashara ilianza kwenda vibaya, nikikuwa naamini kwamba biashara yangu haieksipai lakini kilichonikuta,

Ziliingia kwa kasi bidhaa zenye usb port, flat screen, mara fununu za kuzimwa matoleo fulani ya simu,

cd na tape zikapuuzwa,

mara eti Tv za kisogo hazitafanya kazi,

Na hapo tayari nikawa nishachoka kabisa!! Na ni
ndani ya mda mfupi ambao nilikuwa na mzigo wa pesa nyingi, (hapo nimetoka nje ya nchi na mali ya kutosha) na nilikuwa muuzaji wa rejareja, kwa hiyo nikawa sipati hela ya kurejesha mwezi ukiisha, hivyo nikaanza kuwa nakopa kwa watu ili nikalejeshe!
Nikaanza kupiga mnada zile mali ili ziishe!

hii ilinifanya kuishi kwa kuhamishahamisha madeni,
Kwa kuwa nilikuwa siuzi vizuri hata fedha kwa ajiri ya watoto wa shule zikabaki ni za kukopa,

Nilianza taratibu kuwa nasikia moyo unalipuka katika mtindo fulani, nadhni ilikuwa kukosa utulivu wa Ki mawazo.

hali hii nilihisi itanipelekea kupata BP, nikaanza kufanya mazoezi ya kuipotezea.

Ilipofika mwezi wa pili mwaka huu, nilishindwa kabisa kurejesha pesa benki, nikiwa nimebaki na madeni ya 25,000,000/-
Nikauza kile ki usafiri.

Nikaendelea na mazoezi ya kuyachukulia poa matatizo yangu. Mwisho ile hali ikaisha, nikawa mpuuzi sana nikayaona kama hayakuwa na uzito wowote!

Sasa mziki ukaja, Nikawakabidhi nyumba moja benki wauze wenyewe kuepuka stres
pale nilipoamua nikakae nyumbani kuendeleza kiduka kilichokuwepo home, baada ya kufunga lile duka la electronics

Watu wana mazowea ya kukutana na tatizo kidogo, wananuna, ukimsemesha kidogo anakwambia niache, nina stres!

Wapuuzi sana hao!

Ndugu yangu,

Hali ni mbaya sana, mteja anaweza kuniambia nipe sigara tatu na kiberiti nikampa sigara moja halafu nikawa nimesahau kingine, mpaka aseme tena nimesema tatu na kiberiti ndipo akiri hustuka kidogo, akija mwingine, nipe sabuni ya unga ya mia mbili,ya kipande ya mia mbili, nampa vyote, (labda kanipa 2000) namuuliza na nn tena anajibu hamna kingine, pengine najikuta nimemrudishia chenji yake na hela aliyonipa, nasikia tu " hii ndiyo niliyokupa" yaani kila kitu sasa hakiendi!!

Na kwa sasa sina mtu anaeweza kuwa katika shughuli hii hata sielewi cha kufanya.

Na kwa hayo yote naamini yametokana na mikopo maana zamani sikuwa hivi!

Na nimefanya biashara miaka 26, hiyo biashara iliyofilisika haikuwa ya kwanza kwangu ila huwa nabadilisha biashara kutokana na wakati na mazingira pia


Sasa mwenzenu yamenikuta!!
Pole mkuu ndo dunia hiyo. Hujafa hujaumbika
 
Pole sana chief. Relax jipange upya kama bado una afya mikono na miguu huna haja ya kuwa na hofu.
Utafanikiwa sana tu na kutoka hapo bondeni hiyo Hali kila mtu aliyefanikiwa kaipitia.

Jipe moyo ila ukiamini ktk waganga na uchawi vitakugharimu
Asante,
Sasa uganga au uchawi ntaifanyia Benki?
Au Mchina mbadili matilio?
 
Nashukuru tu kwa yote,
Napata hata kurilax kwa maneno ya wadau hapa, huyo miss anaetafuta anataka niende kwake nikagonge "like"
 
Ndg Wana Jamvi, neema ya bwana iwe nanyi nyote!

Mwenzenu yamenikuta, sijui hata ninakoelekea ni wapi.

True story:

Nilifungua biashara ya electroncs mwaka 2007, Mwaka 2009 nikawa nimemaliza kujenga ka kibanda.

Nikaenda benki moja kukopa, niliwalipa na kumaliza deni kabla ya muda,

Nikakopa tena, nikalipa nikamaliza,
Nilikuwa mteja bora nikapanda kiwango cha kukopa;

Nikajenga ka kibanda ka pili,nikanunua ka usafili
Maisha yakawa yanaenda vizuri,

Nimekopa hadi awamu 9.
Lakini ilipofika awamu ya saba mtaji uliyuma sana, biashara ilianza kwenda vibaya, nikikuwa naamini kwamba biashara yangu haieksipai lakini kilichonikuta,

Ziliingia kwa kasi bidhaa zenye usb port, flat screen, mara fununu za kuzimwa matoleo fulani ya simu,

cd na tape zikapuuzwa,

mara eti Tv za kisogo hazitafanya kazi,

Na hapo tayari nikawa nishachoka kabisa!! Na ni
ndani ya mda mfupi ambao nilikuwa na mzigo wa pesa nyingi, (hapo nimetoka nje ya nchi na mali ya kutosha) na nilikuwa muuzaji wa rejareja, kwa hiyo nikawa sipati hela ya kurejesha mwezi ukiisha, hivyo nikaanza kuwa nakopa kwa watu ili nikalejeshe!
Nikaanza kupiga mnada zile mali ili ziishe!

hii ilinifanya kuishi kwa kuhamishahamisha madeni,
Kwa kuwa nilikuwa siuzi vizuri hata fedha kwa ajiri ya watoto wa shule zikabaki ni za kukopa,

Nilianza taratibu kuwa nasikia moyo unalipuka katika mtindo fulani, nadhni ilikuwa kukosa utulivu wa Ki mawazo.

hali hii nilihisi itanipelekea kupata BP, nikaanza kufanya mazoezi ya kuipotezea.

Ilipofika mwezi wa pili mwaka huu, nilishindwa kabisa kurejesha pesa benki, nikiwa nimebaki na madeni ya 25,000,000/-
Nikauza kile ki usafiri.

Nikaendelea na mazoezi ya kuyachukulia poa matatizo yangu. Mwisho ile hali ikaisha, nikawa mpuuzi sana nikayaona kama hayakuwa na uzito wowote!

Sasa mziki ukaja, Nikawakabidhi nyumba moja benki wauze wenyewe kuepuka stres
pale nilipoamua nikakae nyumbani kuendeleza kiduka kilichokuwepo home, baada ya kufunga lile duka la electronics

Watu wana mazowea ya kukutana na tatizo kidogo, wananuna, ukimsemesha kidogo anakwambia niache, nina stres!

Wapuuzi sana hao!

Ndugu yangu,

Hali ni mbaya sana, mteja anaweza kuniambia nipe sigara tatu na kiberiti nikampa sigara moja halafu nikawa nimesahau kingine, mpaka aseme tena nimesema tatu na kiberiti ndipo akiri hustuka kidogo, akija mwingine, nipe sabuni ya unga ya mia mbili,ya kipande ya mia mbili, nampa vyote, (labda kanipa 2000) namuuliza na nn tena anajibu hamna kingine, pengine najikuta nimemrudishia chenji yake na hela aliyonipa, nasikia tu " hii ndiyo niliyokupa" yaani kila kitu sasa hakiendi!!

Na kwa sasa sina mtu anaeweza kuwa katika shughuli hii hata sielewi cha kufanya.

Na kwa hayo yote naamini yametokana na mikopo maana zamani sikuwa hivi!

Na nimefanya biashara miaka 26, hiyo biashara iliyofilisika haikuwa ya kwanza kwangu ila huwa nabadilisha biashara kutokana na wakati na mazingira pia


Sasa mwenzenu yamenikuta!!

Pole mkuu. Hapo juu kwenye kichwa cha habari liwe neno, " imeniathiri", na si imeniadhiri.
Umeathirika kisaikolojia.
 
Back
Top Bottom