Kuna continuous students yoyote ambaye amekwisha pata mkopo mwaka WA 2015/2016??au kama Kuna mtu WA bodi au ameshawasiliana na bodi ya mikopo juu ya hili swala naomba atujuze...
UDSM wametoa majina machache sana tena ya college moja..
UDSM wametoa majina machache sana tena ya college moja..
taarifa hizi sio sahihi... nimeulizia leo majina hayajafika bado
Nenda kwenye mlango wa loan officer wamebandika hayo majina mzeeya
yamewekwa sa ngapiWamepat wengi au?
Wamepat wengi au?
yamewekwa sa ngapi
Kwa lugha hii nakubali elimu imeshuka sana.Kuna continuous students yoyote ambaye amekwisha pata mkopo mwaka WA 2015/2016??au kama Kuna mtu WA bodi au ameshawasiliana na bodi ya mikopo juu ya hili swala naomba atujuze...
Nasikia 19 tuuu... Ila nimesikia hawakupeleka baadhi ya majina heslb.. daaah hawa maloan oficer hawako fair hata kidogo.. wanahitaji sisi tuishi vipi!!
Yaaan ndugu yangu hawa jamaa huwa wanapeleka majina ambayo tayari wanalishawapa rushwaaa mengine yanatiwa kapuni... hii si haki kabisaasa mbona tulisign form zile asa kwanini wasipeleke mengine
Jumatatu twendeni bodi tujue kama taarifa zetu za chuo kama zimefika bodi maana hawa maloan officer huwa hawapeleki majina kule.... yaan wanazingua sanaaaa cjui wanataka tusome vp.. haswa loan officer wa UDSM..Kuna continuous students yoyote ambaye amekwisha pata mkopo mwaka WA 2015/2016??au kama Kuna mtu WA bodi au ameshawasiliana na bodi ya mikopo juu ya hili swala naomba atujuze...
Jumatatu twendeni bodi tujue kama taarifa zetu za chuo kama zimefika bodi maana hawa maloan officer huwa hawapeleki majina kule.... yaan wanazingua sanaaaa cjui wanataka tusome vp.. haswa loan officer wa UDSM..