MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,450
- 14,900
Unakopa halafu unalipa kila siku alooo kweli hio ni kausha damu
Assume sasa hizo taasisi zikaondolewa kabisa, hao wakina mama wakaanga mihogo huko njiani wataendeshaje biashara zao?Bora Mwananchi wameona umuhimu wa kulisema hili jambo kwani BOT na serikali wamelala usingizi