Mjumbe acha kumpotosha mwenzako, jamaa walipotangaza watu waanze kuomba walisema watu wote wanaotarajia kuomba mkopo kwa mwaka wa masomo 2013/14 waanze kuomba,na haijalishi umemaliza f6 lini. Deadline kwa waombaji wote ni tareh 30/06/2013. Baada ya hapo,ambae atakuwa either hajaomba au hajaupdate itakula kwake. Kazi kwenu ambao bado mnasoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.