Watakuwa wamekuzidi kete wachawi wenzio huko Sumbawanga ndo mana umekuja kuwaponda humu.Rukwa ni miongoni mwa Mikoa maskini Tanzania na Wala hakuna mzunguko wa hela
Mkoa gani ambako mtu anahitaji ndugu ndio atoboe?Kagera = 0 watu wanaomiliki pesa wengi ni ambao wameajiriwa .
Kagera kula , kuvaa ,kulala utapata Ila sio kuwa na ukwasi.
Then mkoa ambao MTU anakuja hana kitu hana ndugu na anatoboa ni DSM tu.
Rukwa ungeitoa mikoa mingine yote nakubalisna na weweJapo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa π¬π¬
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.
Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
πNilikaa Moshi miaka miwili sikuwahi kuokota hata 100 chakavuπππ
Mkuu punguza ubishiii.Wewe umetoboa Kwa lipi kweymkoa.huo wenye watu mafukara na poor purchasing power?
Acha zako!Kilimanjaro ni mbaya zaidi kwa utafutaji.
Wachaga na Wapare mkoa wenu hovyo kabisa kwa utafutaji...yaani sufuri
Mikoa mingi ukabila unasumbua, ndio maana kutoboa inahitaji uwe na mwenyeji wa kukishika mkono...Mkoa gani ambako mtu anahitaji ndugu ndio atoboe?
Acha mzaha basi Kwa biashara ga I iliyopo mkoa huo? Njoo Katavi utakufa maskini huko RukwaMkuu punguza ubishiii.
Rukwa unatoboa kirahisi mara 1000 kuzidi Daaaslam.
Tengeneza hata Mkokoteni peleka pale sokoni wanakodisha Vijana wa Kihutu.
Nunua Powertilla somba tofali za kuchoma.
Nenda kule Muzzye anza kupanda Mpunga kwa Wakulima Ekari moja elfu 30.
Rukwa ni rahisi kutoka. Hapo sijagusia kununua Nafaka.
Bora ngumu kutoboa? Labda huujui kutafuta hela aisee!Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa π¬π¬
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.
Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Haijui Tabora huyo..Ta
Bora ngumu kutoboa? Labda huujui kutafuta hela aisee!
Wafipa vipi? Kwamba unaweza toboa Rukwa kushinda Lindi au Tanga?Rukwa ungeitoa mikoa mingine yote nakubalisna na wewe
Hakuna cha brain kubwa...Kilimanjaro ni vigumu kama huna brain kubwa. Ni sawa na kwenda ku fight maisha Marekani ukadhani ni rahisi.
Kilimanjaro asilimia kubwa sana ni watafuta pesa, sio watumia pesa, hivyo kuwa na kitu Cha kuuza kule kinatakiwa kuwa na demand ya kweli kweli.
Unatoboa vizuri fursa zipo nyingi sanaWafipa vipi? Kwamba unaweza toboa Rukwa kushinda Lindi au Tanga?
Na je hiyo mikoa, Ina wabunge wengi wa vyama pinzani? Au ccm?.Tuanzie hapoJapo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa π¬π¬
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.
Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Kama zipi zaidi ya kulima mahindi?Unatoboa vizuri fursa zipo nyingi sana
Siasa na mambo ya Kutoboa hayahusianiNa je hiyo mikoa, Ina wabunge wengi wa vyama pinzani? Au ccm?.Tuanzie hapo
Tabora nusu nikaribie utajiri elon musk ππ hahahaha natania ila mkuu Tabora utajiri nje nje aisee ila nenda bush kwa wasukuma huko hela nje nje aisee ila integemea na biashara aiseeHaijui Tabora huyo..
Wachaga wanajazana Tabora sasa hivi kwa kwasi.
Tabora Kuna nini zaidi ya Tumbaku?Angejua
Tabora nusu nikaribie utajiri elon musk ππ hahahaha natania ila mkuu Tabora utajiri nje nje aisee ila nenda bush kwa wasukuma huko hela nje nje aisee ila integemea na biashara aisee