Mikoa ipi ina wataalamu Wa jadi

Mikoa ipi ina wataalamu Wa jadi

Waganga wa kweli hapa tanzania wapo kondoa kwa warangi na ile njia inaenda babati sehemu fulan panaitwa bonga kuna mzee anaitwa mshikamano.....Ila kifupi waganga kwa kweli wapo kondoa irangi na pangani tanga
Huyu mzee mshikamano nampataje ndugu yangu
 
Back
Top Bottom