OkNi pm fastr kama upo serious nikuelekeze mahala japo sijajua shida yako hasa ni nini?
Nielekeze uzuriNjoo tanga pangani huku nishida.
Una Tatizo gani.mpaka unataka KWENDA kwa Waganga?Habari zenu wakuu hivi ni mikoa IPI yenye wataalamu Wa jadi yaani waganga yaani Nina tatizo kubwa waganga wengine hawawezi kunisaidia zaidi wananilia pesa zangu tu. Shida yangu nahitaji mgaga anayeweza kumshikisha adabu mtu maana kila ninapozunguka napewa dawa ya mapenzi yaana mabwana kibao wananisumbua kila nipitapo . msaada wenu iwe kati ya mkoa Wa Dodoma ,iringa ,njombe au mbeya
Una Tatizo gani.mpaka unataka KWENDA kwa Waganga?
Karibu pm Kwa msaada zaidi
Kama Upo Interest Ni alike PmMatatizo makubwa siwezi kukueleza ila nikimpata mtaalamu nitamueleza
Habari zenu wakuu hivi ni mikoa IPI yenye wataalamu Wa jadi yaani waganga yaani Nina tatizo kubwa waganga wengine hawawezi kunisaidia zaidi wananilia pesa zangu tu. Shida yangu nahitaji mgaga anayeweza kumshikisha adabu mtu maana kila ninapozunguka napewa dawa ya mapenzi yaana mabwana kibao wananisumbua kila nipitapo . msaada wenu iwe kati ya mkoa Wa Dodoma ,iringa ,njombe au mbeya
Andendekisye hawezi kuwa mkingaPale Mbeya kuna Mzee anaitwa Andendekisye Mwafilombe mtafute lakini kwa uzoefu wangu wakinga ushirikina wao upo kwenye biashara sasa ww upo tofauti?
Mnyaki huyo mkuuAndendekisye hawezi kuwa mkinga
kondoa sehem nyingine wapi ukiacha hko mzeeWaganga wa kweli hapa tanzania wapo kondoa kwa warangi na ile njia inaenda babati sehemu fulan panaitwa bonga kuna mzee anaitwa mshikamano.....Ila k
kifupi waganga kwa kweli wapo kondoa irangi na pangani tanga
Kondoa sehemu ganiWaganga wa kweli hapa tanzania wapo kondoa kwa warangi na ile njia inaenda babati sehemu fulan panaitwa bonga kuna mzee anaitwa mshikamano.....Ila kifupi waganga kwa kweli wapo kondoa irangi na pangani tanga
Kwenu Makete kuna akina Mwakipande au pale Njombe maeneo karibia na Mtwango kuna Mwandulami atakusaidiaHabari zenu wakuu hivi ni mikoa IPI yenye wataalamu Wa jadi yaani waganga yaani Nina tatizo kubwa waganga wengine hawawezi kunisaidia zaidi wananilia pesa zangu tu. Shida yangu nahitaji mgaga anayeweza kumshikisha adabu mtu maana kila ninapozunguka napewa dawa ya mapenzi yaana mabwana kibao wananisumbua kila nipitapo . msaada wenu iwe kati ya mkoa Wa Dodoma ,iringa ,njombe au mbeya
Njoo tanga pangani huku nishida.
Mimi ni mtaalamu piaMatatizo makubwa siwezi kukueleza ila nikimpata mtaalamu nitamueleza