Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Naona newzland kashaanza vyema leo kanjibayi ntamlamba
2d72e0c51d6ddcb51ecf84e1983fecb9.jpg
 
8b816d6d857110c65947439b6f8a139a.jpg
kuwa watu waongo Hku Et anasubiria Tim mbili Zipi wakati mkeka usha kufa huwo ...,
MKEKA AUJAFA HUO MZEE UJUI CODE COLOR NINI HIYO ORANGE MEANS GAME WAITING FOR PLAYING

MATOKEO YA MWISHO HAYA HAPA BISHA SASA MZEE HATUBAHATISHI BOY

AU HAPO NIMEEDIT ??????????
ush mkeka jana.png
 
kaka tatizo we maneno meeengi tuki ingia kwenye site yako tuna kuta vitu tofaut kabisa na unacho kipost baada ya matokeo ndo unatuletea izo kijani tena za kupikaaa.

ingekua vizur kama ungekua unaleta na mikeka unayo bet kutokana na izo tips unazo ziweka baada ya matokeo
KUTU HAKUNA TUNABASHIRI MICHEZO KAMA NINYI TU TOFAUTI YENU NA SISI NI KUWA NYIE MNATUMIA VICHWA PEKEE SISI TUNAUNGANISHA NA FORMULA ZA KIHESABU KWA KUZINGATIA VITU VINGI NA HATU EDIT WALA KUCHAKACHUA

PIA KUNA MIFUMO MIWILI YA UBASHIRI HAPA AMBAO MMOJA NDIO UNAOTUMIKA KUTENGENEZEA MKEKA AU MIKEKA YA KILA SIKU AMBAO HUO UNALIPIWA NYIE SI MNAINGIA YA FREE FOR VIEWERS HAPO MTAONA VITU VICHACHE TU NA KWA UJUMLA
 
Mkeka huu waungana kwa wale wanaofatilia Tennis hela za bure kabisa hizi
44581933eff4730a9946a91e75043bea.jpg
 
Mzee wa Mikeka uko wapi mkuu!!!!? Pitia huku uturushie uchambuzi mana ninakufafuta nashindwa mkuu,,,,, please mara upitiapo huku jaribu kutukumbuka,,,,,, your greatest ktk kuchambua mpira........
 
jaman jana niliweka mkeka meridianbet.co.tz afu nimekuta umeandika loser tiketi wakati jana niliipa timu moja tu na ikashinda
 
Solihull Moors Fc - Torquay Utd
Over 1.5 goals
1.27

Oxford United - Bury FC
Over 1.5 goals
1.28

Bahrain - Singapore
Over 1.5 goals
1.23

South Africa - Angola
1/2
1.18

Cameroon - Guinea
1/X
1.23


Odds: 2.90


 
TICKET PRICE: 1.000 Tzs

MECHANICS

Kuna orodha ya michezo 12 pamoja na 4 hifadhi michezo kutoka mashindano tofauti ( EPL , la liga , Ligi ya Mabingwa, Kombe la Euro . Kombe la Dunia nk nk, ).

Wateja wanaombwa kutabiri Matokeo ya michezo yote 12 , kuchagua 1x2 ( Nyumbani kushinda, sare , ugenini kushinda ), pamoja na Outcome ya 4 hifadhi michezo.

Orodha 4 za ziada itakuwa zikitumika kwa ajili ya mchakato wa sare wakati moja ya mchezo ya 12 orodha kuu ikifutwa (kutokana na hali ya hewa au sababu haitabiriki nyingine yoyote).

Kama mchezo mmoja utafutwa, mchezo wa kwanza wa ziada utawekwa badala ya mechi kufutwa. Kama kuna michezo 2 imefutwa, kisha michezo 2 ya kwanza ya ziada zitawekwa badala ya mechi kufutwa na huo utatumika kwakufutwa 3 au 4.

FREQUENCY

Kutakuwa na draw 7 wa Super 1x2 kwa wiki

Mdaa wakufungua super 1x2 itachapishwa Siku moja kabla, wakati mchezo wa kwanza ya orodha ikianza. Mchakato huo utakuwa siku ya pili. Kufunga super 1x2

ZAWADI

Wachezaji walio tabiri mechi zote 12 kwa usahihi watakuwa washindi wa SUPER 1x2 super prize.

Wateja walio tabiri mechi 11, 10 au 9 kwa usahihi pia watakuwa washindi na kupata zawadi nyingine kwa kuzingatia mauzo ya kila mchakato.

Katika Mchezo huo kama hakupatikana mshindi au mtu yeyote katika makundi mbalimbali hatuto kuwa na malipo, yatawekwa na atalipwa kwa mchakato yafuatayo.

Katika Mchezo huo kama kuna mshindi zaidi ya moja katika Kila aina ya mchezo, zawidi zita gawanywa kwa sawa miongoni mwa washindi wa mchezo huo.

Zawadi ya mshindi wa Mchezo wa chini hawezi kuwa kubwa kuliko washindi wa michezo ya juu. Katika kesi hiyo, Jumla ya zawadi ya makundi yote itaongezwa na kusambazwa kwa usawa miongoni mwa washindi wa makundi yote mawili.
 
Wadau nataka kuweka mzigo hapo kwenye pefect 12, lakini No of bets zipo 17 pamoja na zile zenye possible cancellation. Na nikitaka kuchagua zile 12 tu naambiwa lazima team zilwe 17.

Swali langu ni je, nikipatia 12 nikakosa 5 nakua nimekula? Au natakiwa kupatia zote 17 lakini zitakazohesabika ni 12 tu?
TICKET PRICE: 1.000 Tzs

MECHANICS

Kuna orodha ya michezo 12 pamoja na 4 hifadhi michezo kutoka mashindano tofauti ( EPL , la liga , Ligi ya Mabingwa, Kombe la Euro . Kombe la Dunia nk nk, ).

Wateja wanaombwa kutabiri Matokeo ya michezo yote 12 , kuchagua 1x2 ( Nyumbani kushinda, sare , ugenini kushinda ), pamoja na Outcome ya 4 hifadhi michezo.

Orodha 4 za ziada itakuwa zikitumika kwa ajili ya mchakato wa sare wakati moja ya mchezo ya 12 orodha kuu ikifutwa (kutokana na hali ya hewa au sababu haitabiriki nyingine yoyote).

Kama mchezo mmoja utafutwa, mchezo wa kwanza wa ziada utawekwa badala ya mechi kufutwa. Kama kuna michezo 2 imefutwa, kisha michezo 2 ya kwanza ya ziada zitawekwa badala ya mechi kufutwa na huo utatumika kwakufutwa 3 au 4.

FREQUENCY

Kutakuwa na draw 7 wa Super 1x2 kwa wiki

Mdaa wakufungua super 1x2 itachapishwa Siku moja kabla, wakati mchezo wa kwanza ya orodha ikianza. Mchakato huo utakuwa siku ya pili. Kufunga super 1x2

ZAWADI

Wachezaji walio tabiri mechi zote 12 kwa usahihi watakuwa washindi wa SUPER 1x2 super prize.

Wateja walio tabiri mechi 11, 10 au 9 kwa usahihi pia watakuwa washindi na kupata zawadi nyingine kwa kuzingatia mauzo ya kila mchakato.

Katika Mchezo huo kama hakupatikana mshindi au mtu yeyote katika makundi mbalimbali hatuto kuwa na malipo, yatawekwa na atalipwa kwa mchakato yafuatayo.

Katika Mchezo huo kama kuna mshindi zaidi ya moja katika Kila aina ya mchezo, zawidi zita gawanywa kwa sawa miongoni mwa washindi wa mchezo huo.

Zawadi ya mshindi wa Mchezo wa chini hawezi kuwa kubwa kuliko washindi wa michezo ya juu. Katika kesi hiyo, Jumla ya zawadi ya makundi yote itaongezwa na kusambazwa kwa usawa miongoni mwa washindi wa makundi yote mawili.
 
Hivi unadeposit vipi hela mkeka bet?

kwa tgo unaingia tgo pesa then lipa bili...andika namba ya kampuni 238844....kias....referenc namba unaandka mkeka...then unaendelea ...ila namba utakayolipia ndo iwe uliyojiungia mkeka
 
kwa tgo unaingia tgo pesa then lipa bili...andika namba ya kampuni 238844....kias....referenc namba unaandka mkeka...then unaendelea ...ila namba utakayolipia ndo iwe uliyojiungia mkeka
Ok,jinsi ya kuanza kabisa,mfano hadi kupata hiyo reference number unafanyaje?
 
Back
Top Bottom