Hahahah leo nmezungumzia mikao.Mkao ni jambo moja ila picha kutoka vizuri inahitaji vitu vingi sana mkuu, aina ya nguo, kuna wengine tuna uadui na kamera, hata upige picha vipi haitokelezei!!!!
Hahahah leo nmezungumzia mikao.
Ila nitakuja na namna ya kukufany utokelezeee
Hii ya sasa hivi inaitwa kibinda nkoi dada anakunja kiuno kama anataka kujikuna mgongo kwa mdomoAngalia vzuri ya utaona wajibinuaji