Mimi unaupata ulemchezo sjui unakuta kuna vitu vimepangwa barabarani vile mabeseni, sjui redio, sjui tv na vingine vingi alafu kuna mchezo wanachezesha, alafu unaskia wanasema elfu tano mara ya kwenza, elfu tano mara ya pili, ile ya mara ya tu nikasema hebu nichungulie Ahhhhhhhaa!! nimeshapigwa mchanga kitambo kiiingiii nikasema doh! Dar es salaamaaa mji wa lawama