Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
daahhamna ubaya,nyie mlosoma HKL,huwa mnasoma history ya 1880s lakin sasa hv ndo mnajadili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
daahhamna ubaya,nyie mlosoma HKL,huwa mnasoma history ya 1880s lakin sasa hv ndo mnajadili
Sent using Jamii Forums mobile app
Maybe you should upgrade your urban dictionary Mr.“Falasy” na “Fakeology” ndio nini sasa?
Hebu get your English Skills together,maana skills zipo ICU!
Wanaume wanapigwa kila siku
Watoto wanapigwa kila siku
Na wanawake wanapigwa kila siku pia
Whats the fuss?
mleta uzi anasema kapigwa kipigo cha mbwa mwizi,mihayo naye bwege kweli,sasa ndo kipigo gani hicho si bora asingempiga tuYule Jamaa dar aliona asipoteze muda saana, akamchimbia shimo, akamuwekea na gunia za mkaa juu yake, aka apply fire, maana wanawake hawasikiagi, huyu kwenye picha hajapigwa vya kutosha, anaweza mpaka kutembea !, baada ya kipigo ilitakiwa abebwe na machela.
sijui kwa nini watoto wa kishua huwa wanaokota sana matango pori, mwingine ni yule mtoto wa mwakasegeYes, wengi wanaokoteza hawajui lolote. Nimefanya sana kazi na Mihayo ni mtu poa sana japo anamapungufu yake lakini ni mtu haswa na anajua kuitafuta pesa.
Huyo ex wake ni wale wanawake wasiofugika jamaa sababu wakishua hajui sana purukushani za mjini akaingia mkenge. Walishaachana na Mihayo ameshinda mahakamani lakini huyo mwanamke bado anaendeleza vita ya kumrostisha mshikaji ameamia kwenye media.
upande wa pili wanawake wadogo wanaolewa,hujaelewa point ya jamaaWachache kwa takwimu zipi mkuu
Sex ratio ya nchi na dunia ni 1:1
vinginevyo njoo na takwimu
Ndo Ndoa zinahappen kila siku
Wanaume watu wazima ndo wanaooa Watoto wa kazi gani
Nioneshe sehemu ilipoongelewa kupigwa kwa kiumbe chochote ambacho sio mwanamke nikasema wasisemewe. I’ll wait
Otherwise hili povu lako la kleesoft kamtolee mwingine si mimi.
yupo jela lakini moyo wake mweupeee yupo free amerelease stress zote,wanasema bora majuto kuliko fedhehaBaada ya gunia la mkaa atafia jela
If thats how short you want to spend ur life well and good ...go ahead utaozea jela ukinyea ndooo
hapo amepigwa au ameguswa? unaelewa maana ya kupiga?Kama upo karibu na Juice bar yeyote take a glass nitalipa! Very well said.
Hakuna justification ya mtu kupigwa na kuburutwa namna hii, ukipigwa unakuwa umedhalilishwa na kutolewa utu, binadamu anatakiwa kupewa adhabu zitakazotunza ubinadamu wake hata kama yeye mwenyewe ni “mbaya”kiasi gani. Halafu kumpiga mwanamke ambaye hawezi hata kukurushia ngumi moja nao ni ugonjwa wa akili. Kama kuna chochote Nack alichofanya kwa jamaa yake hili la kupigwa halifit kama justification. Uliza sababu utaambiwa sijui usaliti, sijui ma nini nini, swali huyo kaka hajawahi msaliti mkewe? Au hajawahi mfanyia chochote kibaya! Is he malaika Gabriel or something like that, Holly! No no no! Mbona ye hakupigwa hivyo? What’s your point men! To me binadamu yeyote hatakiwi kupigwa leave alone a woman!
Sipati picha mangenita angekuwa katika ubora wake wa U Turn angeandika nini mbaya wake anapokaangwa hehe!
Huyu jamaa ni mtu mmoja poa sana. IT & Marketing genius fulani.
Kilimcost sana kuoa huyo dada yake le mutuz kwa mama yake wa kambo .
Mihayo yuko very focused lakini alipata mke ambaye anapenda starehe za town mtoto wa Kinondoni matokeo yake akawa anapigia hesabu mali za mchizi.
Na kumpeleka resi sana mchizi anarudi kula bata late mke wa mtu hata kama ndio uzungu huu ulipitiliza . Sema kwa hiyo clip nimeamini binadamu uki mpush kwenye edge anaweza akaua mtu bila kutarajia. Lazima kuna sababu kwanini demu kala kipondo kile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kichaa si lazma uokote makopoyupo jela lakini moyo wake mweupeee yupo free amerelease stress zote,wanasema bora majuto kuliko fedheha
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watu mmedandia treni kwa mbeleMkuu umeongea kitu ambacho nilikuwa nawaza.
Hawa watoto wakike hawa ni shida yawezekana kabisa mali ndio ilikuwa hesabu yake na hata sasa hivi kufukua hili kaburi ukute bado anamuwinda jamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
tunawapiga ili kumaliza hasiraComment yangu moja umeijibu mara mbili, na unaniletea cases tofauti kujustify upigaji, basi ngoja nikukubalie mwanamke anapigwa, na tena anapigwa sana, mwanamke ndiye mtu pekee hukosea duniani, hivyo kumpiga ni haki kabisa. You happy now!?
Ujue nimewasoma na kuwasoma tena, imebidi nianze kutafakari upya, hivi kupiga kwenu ninini? Kwanini mnaamini sana katika kupiga? Je ni kukomoa, kurekebisha au kumaliza hasira? Ama ni matatizo ya akili na hamjijui? Maana kila mtu anajimwambafy kuwa ni lazima kupiga na hamna namna!
Naendelea kusimama hapa, siafiki mtu kupigwa no matter aina ya kosa alilokosea, kupiga ni uonevu, unyanyasaji na udhalilishaji, na mwisho sifikirii kama kuna matokeo chanya juu ya upigaji. Nitaendela kusimama hapa hapa.
Africa tunapigana sana na hakuna chenye kinabadilika au kuleta unafuu, watoto majumbani wanapigwa, shuleni wanapigwa, wanawake wanapigwa, watu wanapigana ovyo mitaani, nini shida katika akili yetu? Note: sio kwamba race zingine hazipigani, lakini utaona reaction ya watu juu ya upigaji ndiyo inayotutofautisha sisi wa bara giza na wale. Huku ukireact kupinga upigaji you will be called names, Je ni kweli upigaji unasaidia kitu!?Hebu wapigaji mtuambie hapa.
Huyu jamaa hana undugu na jaji mihayo.
Huyu ni mnyamwezi wa Tabora na Black American. Ana uraia wa marekani sababu Baba yake marehemu alikuwa ni African American. Dogo kapiga shule Mtoni na yuko super smart kichwani. Ana maadili pia ya kiafrika na heshima na mtu wa watu sana hajisikii.
Yuko njema cribs tatu nne za maana, Mandinga ndio kama yote ya maana halagu janki mdogo. Ana proffessional network ya kufa mtu duniani. Yukovizuri Us embassy inamtambua na inampa fursa sana kama kijana smart
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kipindi wanawake wa 30 and above wanaolewa kama miaka hiiupande wa pili wanawake wadogo wanaolewa,hujaelewa point ya jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ye akiwa na hasira akupige?.
Ni kipigo tu hawa bila mfumo dume hawaendi hawaMwanamke akikosea anapigwa
Mwanaume akikosea anapigwa
Watoto wakikosea wanapigwa
Sasa sijui kwanini mwanamke ni special case kivipi?
Miwanawake bwana!Ni source ya aggression ila wakiwa countered wanaanza ku cry wolf,fvck em!