Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,551
- 774
WaTanzania watu wa amani sana. Nakumbuka zamani in the 90's mtu ukipita pale mnazi mmoja ndio ilikuwa kama ndio SPEAKERS CORNER yetu...kuanzia wana conspiracy theory mpaka wana mihadhara.
Ukitazama hii video hapo chini utaona wakristo na wa islam wa Tanzania wanakutana wana debate bila kuingizia serikali gharama zozote zile za ulinzi na kadhalika
Ukilinganisha na mikutano ya kisiasa utashangaa serikali inavyogharamika kupeleka FFU, POlisi, Uslama etc
mimi sioni ubaya ukaruhusiwa kuendelea as long as hakuna uvunjaji wa amani. Infact you are more likely kukashifiwa kwenye mikutano ya siasa kuliko ya kidini.
I miss those days....
vs
Ukitazama hii video hapo chini utaona wakristo na wa islam wa Tanzania wanakutana wana debate bila kuingizia serikali gharama zozote zile za ulinzi na kadhalika
Ukilinganisha na mikutano ya kisiasa utashangaa serikali inavyogharamika kupeleka FFU, POlisi, Uslama etc
mimi sioni ubaya ukaruhusiwa kuendelea as long as hakuna uvunjaji wa amani. Infact you are more likely kukashifiwa kwenye mikutano ya siasa kuliko ya kidini.
I miss those days....
vs
Last edited by a moderator: