Mihadhara ya katiba ya Prof. Shivji

pamoja na uzuri wa mihadhara yake, ukweli ni kuwa anpotosha jamii kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar. nashauri asiendelee ni mihadhara kwani nashindwa kujibu maswali ya msingi kuhusu muungano. inawezekana anatumwa na magamba ili apotoshe ukweli., kwani hata historia ya Zanzibar imepotoshwa kwa kutoelaza ukweli kuhusu Okelo na ushiriki wake muhimu kwenye mapinduzi. OKello hajaandikwa na kitabu chochote kuhusiana na ushiriki wake mkuu kwenye mapinduzi.
 

Uzuri nadharia za kitaaluma, zinaweza kupingwa kwa nadharia mbadala za kitaaluma na si vinginevyo. Issa ameongea kwa mtazamo wake na kwa kutumia nadharia za kitaaluma za kisheria. Ningependa kusikia nadharia mbadala ili nipime
 
Nimependa sana jibu lako tuacheni mambo ya ajabu Mzee alieleza vizuri sana tunatakiwa kutumia japo akili kidogo kuelewa. Nemekulike
 
Prof. Shivji headed a Commision on Land in the 1960/70 and produced a good report on land tenure and ownership.

His public lectures on Katiba Mpya are however disappointing, misdirected and confusing. He deals a great deal on Land ownership, as though this was crucial in the new costitution we want to write.

Let us deal with people as the source of power and reason for the existence of governments. This is the king-pin in a new costitution:

People's freedom, rights and their responsibility to guide and own the government. Let us see how we devise relationships between the three pillars of power i.e. the Executive, Legislature and Judiciary to suit the perculiar circumstances of Tanzania. Let us devise acceptable arrangements to accommodate Tanganyika and Zanzibar in the Union. Define the powers of the President, Premier, the Chief Justic, the Speaker etc. Define how the regions and districts are to be re-organized for better performance etc.

That is what the Katiba Mpya is all about.
 
Edwin Mtei,
Heshima mbele mzee wangu. Nimekupigia simu naona haipatikani toka juzi. Anyway nakupa pole kwa msiba mzito Mzee wangu.

TUMBIRI (PhD, University of Hull - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
 
Mhe. TUMBIRI,

Nashukuru kwa ujumbe wako unaotuimarisha ktk hali hii ya kupotewa na mwenzetu.

Sikuweza ku-imagine wewe uko Hull University kutokana na hii avatar yako. Unarudi nyumbani lini tufaidike na mchango wako kihalisia?

Sorry hukuweza kunipata kwa simu. Nina simu tatu, 2 za kiganjani na moja ya mezani. Za kiganjani ni +255 754 387177 na +255 787 387177. Ya mezani iko ktk Directory chini ya Ogaden Estate Ltd.

Nakukaribisha sana nyumbani ukiwa Tz.

Edwin Mtei
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…