Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Nimecheka mpaka nimecheka tena, hii ya vigelegele mpya 🤣🤣

Nishakutana na mtu anayeangua kilio akishusha wazungu, ila hii style yako bado sijaiona 🤣
Mimi naanza kwa kukakamaa then vinaanza vigelegele out of no where wazungu hao hapo. Hapo nitakubana na kukukumbatia mwili wako wote kwa kadri nitakavyo. Hapo ndio utakua mwisho wa vigelegele huku nikitoa pumzi nzito.

Ndio nilivyo
 
Kuna kelele za WIZI hasa ukiona ni kubwa kwa mwanamke sababu wengi wanajua kwa kufanya hivo mwanaume atajiona shababi na yeye atajirahisishia huduma na matunzo.
Wanawake wanaopiga kelele wengi sio waaminifu na ni matapeli
 
Mimi naanza kwa kukakamaa then vinaanza vigelegele out of no where wazungu hao hapo. Hapo nitakubana na kukukumbatia mwili wako wote kwa kadri nitakavyo. Hapo ndio utakua mwisho wa vigelegele huku nikitoa pumzi nzito.

Ndio nilivyo
Mwanamke ameshawahi kushangaa hivyo vigelegele au huwa wanaona kawaida tu?

Hapo kwenye kubana na kukumbatia kwa nguvu ndiyo penyewe 🤣

200.gif
 
Kuna yule ex wangu mmoja hivi alizidisha sasa hadi ikawa kero yaani analia kama yeye ndiyo anapelekewa moto, loh! Nilikuwa nachukia hizo kelele zake bora angekuwa anagugumia kistaarabu
Binti wa zamani huyu ndo dada niliyekuambia kuwa nilimkuta anasimulia kuwa mpenzi wake alikuwa analia utafikiri anadinywa yeye 🤣
 
😅😅 wakati wa majamboo-- una turn on voice record... unapataaa kumbuku kumbu saafi ili hata kama mtu ame ahidi jambo kati kati ya utamu, utambushia na ushahidi usio na shaka
Daah una abuse privacy, mimi nikijua mtu ananifanyia hivi na mahusiano yamekwisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom