Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,834
- 14,471
- Thread starter
-
- #21
We ndio hujafahamu hebu soma hapa hio ni Multifunctional.Sorry to say hufahamu. kwanza this is not a fighter , ni interceptor not a fighter.
In class ya interceptor ziko ndege nyingi, na hii sio bora kuliko zote, record zake zinasemaje kwenye conflicts ambazo imetumika.
Mig 31 ni ndege mtambuka sana. Hukubali modernization kutokana na Hali ya mazingira ya kijeshi kila Mara eg tofauti na miaka kadhaa iliyopita mig 31 ambayo imetengenezwa Kama interceptor leo inatumika kama nuclear bombers kwa kubeba air to ground hypersonic missile kwa jina dager.Nadhani hujanielewa, mig 31 inashare some design elements with mig 25, mig 31 ilitengenezwa kama replacement ya mig 25p, is why zinafanana vitu vingi but not the same.
U -2 spy plane , Sr 71 blackbird Ni miongoni mwa interceptor za kundi lake ( mig31) lakini hizo zingine Ni zao la kizazi Cha 3 wakati mig 31 Ni kizazi Cha nne.Sorry to say hufahamu. kwanza this is not a fighter , ni interceptor not a fighter.
In class ya interceptor ziko ndege nyingi, na hii sio bora kuliko zote, record zake zinasemaje kwenye conflicts ambazo imetumika.
Hizi ndege zingekuwa na hizi sifa ulizotaja huenda Urusi ingetawala anga la Ukraine.MiG-31, ambayo ilifanya majaribio yake ya kwanza mnamo 1975, bado inawatia wasiwasi wataalamu wa kijeshi wa Western Military Watch imeripoti.
Urusi haikuwahi kuza ndege hii, ndiyo sababu nchi za Western hazijaweza kufichua siri za MiG-31.
Ndege ambayo technology yake ya kisasa zaidi, kwa sababu hiyo MiG-31BM / PSM. Rada zake hazifananishwi na ndege zingine, kwa sababu ni za kipekee kabisa.
Yani Ukraine sa atachapwa mpaa atakimbia mwenyewe zimeisha anza kazi na Nato hawana jinsi wakubali tu Mrusi kisha washinda vita.
Unakumbuka mara ya mwisho ndege Vita ya US kutunguliwa?Hata saddam alitungua sana ndege za US,, hivi vitu vinahitaji timing tu,, hakuna garantii ya 100%
Serbia war na iraq pia,, afaghnistan ndege iliyombemba Dark angel(ayatolah mike)Unakumbuka mara ya mwisho ndege Vita ya US kutunguliwa?
na ilikuwa ni ipi ?
dudus lee van cliff T14 Armata
Kitambo mno nadhani kama miaka zaidi ya 10 iliyopita, hiyo ya Afghanistan haikuwa ndege za kushambulia kama F-16 au F-15 tena ilianguka kwa sababu za kiufundi tu.Serbia war na iraq pia,, afaghnistan ndege iliyombemba Dark angel(ayatolah mike)
Sababu kuu US hajapigana na capable country tangu Vietnam na korea.Kitambo mno nadhani kama miaka zaidi ya 10 iliyopita, hiyo ya Afghanistan haikuwa ndege za kushambulia kama F-16 au F-15 tena ilianguka kwa sababu za kiufundi tu.
Ni ngumu Sana kutungua ndege Vita za kisasa za US Ila za Urusi zimegeuka vyuma chakavu hapo Ukraine..
T14 Armata dudus Bukyanagandi mohamedidrisa789 Jackal
Ni ngumu kutungua us plane?Kitambo mno nadhani kama miaka zaidi ya 10 iliyopita, hiyo ya Afghanistan haikuwa ndege za kushambulia kama F-16 au F-15 tena ilianguka kwa sababu za kiufundi tu.
Ni ngumu Sana kutungua ndege Vita za kisasa za US Ila za Urusi zimegeuka vyuma chakavu hapo Ukraine..
T14 Armata dudus Bukyanagandi mohamedidrisa789 Jackal
Kabisa....ni kama kujaribu kupaka rangi upepo.
Hiyo ni miaka ya 1953-1954 zamani mno.....Cha ajabu Urusi kapoteza idadi inayokaribiana na hiyo hapo Ukraine.US lost 2714 aircrafts in a korea war
Mig-31 ni interceptor iliyoundwa kutoka kwa Mig-25 Foxbat. Hizi sifa za Mig-31 ni ndogo kwa zile sifa ilizokuwa inapewa Mig-25 kabla Marekani na NATO hawajaijua mpaka wakalazimika kufanya mission kwa rubani wa Urusi aiibe na kuitua Japan.Hizi ndege zingekuwa na hizi sifa ulizotaja huenda Urusi ingetawala anga la Ukraine.
T14 Armata
Yote hayo yananipa maswali magumu akilini?Oh, is it? Je,unakumbuka Dunia iliwahi kuambiwa nini kuhusu hyped American Patriot,THAAD and Aegis integrated air defense systems, kwamba defense system za Kimerikani hazina mpinzani Duniani, kumbe ni ulaghai mtupu!!
Je,unajua baadae kulikuja kudhilika nini kuhusu mapungufu ya mifumo hiyo ya ulinzi wa anga inayo undwa Merikani?? Hapa nta orodhesha mapungufu ya mifumo hiyo - sasa wewe fanya kautafiti kidogo ili ujue undani zaidi wa mapunguvu hayo.
La kwanza lilihusu mfumo wa kiulizi wa anga wa Kimerikani ujulikanao kama Aegis BMD, unapigiwa debe kama nini sijui? Siku moja meli ya kivita ya Merikani ( Donald Cook) yenye mfumo wa Aegis BMD iliingia bahari ya Black Sea ikajongea karibu na Naval Base ya Urusi, jeshi la Russia likatuma/rusha ndege mbili type SU-24 pamoja na helicopter zikaizunguka meli ya Kimerikani kwa takribani dakika 45 kama nakumbuka vizuri - Russian fighter jets switched on their most advanced aircraft mounted electronic warfare (EW)system (Khibiny)zenye uwezo mkubwa wa kuingilia/jam American state-of-the-art radar based weapon system ambayo ni Aegis yenyewe - system nzima ya Aegis on board ilizimwa kama mshumaa remotely by Russian SU-24 jet fighters buzzing the Donald Cook battle ship, crews wote kwenye Meli wakakimbilia kwenye Deck kushuhudia kilicho kuwa kinaendelea hawakuwa na jinsi/lakufanya baada ya system zao kuzimwa na ndege za Urusi, tafuta video clip kwenye UTube wasikilize US sails walikuwa wanasema nini wakati ndege za Urusi zilivyo kuwa zina-buzz meli ya kivita ya Merikani - wote walikuwa woga kama nini, hata hawajui wafanye nini?? Baada ya ndege za Urusi kusitisha zoezi hilo , ndio mfumo wa Aegis ukarudi hali yake ya kawaida, je, warusi wangehamua kukaanga kabisa electronic components on board the ship Captain/Admiral angefanya nini, baadae meli hiyo ilikimbizwa kwenda kufichwa Romania na nasikia baadhi ya baharia waliwasilisha barua za kuacha kazi baada ya kushuhudia kisa hicho wakiwa melini!! Ukweli huo Amerika haiwezi kuutangaza au kukiri na vyombo yao vya habari vipo kimya kabisa - kazi majivuno tu na dharau za kijinga, masaa yote kujifanya wao zaidi!!
Kisa cha pili cha kuonyesha mapungufu ya Amerikan air defense system kilitokea miaka mitatu/minne iliyo pita wakati Petrochemical Industrial Complex ya Saud Arabia ilipo shambuliwa na waasi ya Yemeni kwa kutumia vijiroketi vya kuunda kwenye backyard (DIY) vilifanikiwa kulipua takribani eneo zima la kiwanda na kuitia hasara utawala wa Saudia - lakini miaka yote tulikuwa tuna ambiwa kiwanda hicho kikubwa kinalindwa na mfumo wa Patriot batteries 24X7, sasa swali: je,hizo roketi mshenzi za waasi wa Yemen zilipenyeza vipi kwenye mfumo wa teknolojia kabambe za Kimerikani?? Jibu unalo bila shaka.
Kisa cha mwisho kinahusu kambi mbili za kijeshi la Merikani huko Iraq-Dunia iliambiwa kwamba kambi hizo ni impregnable ie zinalindwa na air defenses sio za Patriot pekee bali na THAAD 24X7, sasa nini kilitokea mapema asubuhi moja baada ya Iran kuvurumisha roketi 12 kwenda kushambulia kambi zote mbili kwa mpigo, kambi zote mbili zilichakazwa na maroketi ya Iran, hakuna hata roketi moja iliyo tunguliwa na mifumo hiyo ya sayansi ya kileo ya Merikani-Roketi zote za Iran zililipua all designated targets with dead accuracy hapo hatujagusia idadi ya majeruhi na vifo vya wanajeshi wa Kimerikani vilivyo tokea kwenye makambi ya Iraq baada ya mashambulizi ya roketi za Iran - mambo hayo huwa havisemwi kabisa, kazi kuisema vibaya Iran na kuidharau.
Now Bottom line, is: Visa tajwa hapo juu vinakupa picha gani kuhusu overall performance za mifumo ya wenzetu ambayo upigiwa debe 24X7 na kuponda mifumo ya ulinzi wa anga wa mataifa mengine - Merikani Adminstration wapo radhi hata kuziwekea vikwazo vya kiuchumi mataifa huru ambayo yanataka kununua S-350/400 air defense systems kutoka Urusi -what does that tell you, hivi inaingia akilini kwamba taifa linalo jiamini kijeshi na kiteknolojia linaweza kufikia hatua ya kufanya ujinga huo wa kuwawekea kauzibe washindani wako kibiashara na kijeshi, kwani wao NANI??
Russia ndege alizo nazo zote zinakadiriwa kuwa 3000 say hiyo hesabu yako yatoka wapi.Hiyo ni miaka ya 1953-1954 zamani mno.....Cha ajabu Urusi kapoteza idadi inayokaribiana na hiyo hapo Ukraine.
kp kipanya44
Kutokea mwaka 2000 mpaka 2009 kwa Afghanistan TU us amepoteza helicopter 375.Hiyo ni miaka ya 1953-1954 zamani mno.....Cha ajabu Urusi kapoteza idadi inayokaribiana na hiyo hapo Ukraine.
kp kipanya44
Mungu anasemaje khs ushoga?Nimekuuliza wewe mwana NATO maana najua wewe Ni supporter mkuu wa ushoga.Urusi ameshidwa kwanza hawaamni Mungu
Muda wa kubishana na huyo bora ukajipigie zako puli tu.