MIF kichaka cha mama Samia kuingiza pesa?

MIF kichaka cha mama Samia kuingiza pesa?

sheiza

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
7,634
Reaction score
11,691
MIF: Mwanamke Initiative Foundation.

Hii ni taasisi iliyozinduliwa hivi karibuni na mama Samia ikiwa chini ya binti yake mpendwa Wanu Ameir Hafidh yenye maskani yake kuu Zanzibar.

Swali: Kwa nini sasa baada ya mama kuwa rais na haikuanzishwa Magufuli alipokuwa rais na yeye akiwa makamu wake rais?

Hapo nyuma tuliona taasisi kama EOTF chini ya aliyekuwa first lady mama Anna Mkapa na baadaye WAMA chini ya Salma Kikwete.

Hizi taasisi zilikuwa active kipindi cha waume zao walipokuwa marais lakini sasa hata ukiuliza ofisi na vitendea kazi hakuna, kama lengo ilikuwa kusaidia jamii tunaamini muendelezo ungekuwepo.

Kupitia hizi taasisi mambo mengi ya hovyo yalitokea mfano EOTF ilichukua kiwanda cha kubangua korosho kibaha na kutoa mashine zote, hiyo WAMA imehodhi maeneo mengi ikiwemo kujichukulia eneo kubwa la wananchi maeneo ya Mitwero na wakati fulani Magu alipoenda Lindi mama Salma alikuwa anajiuma uma kutoa maelezo ya hilo eneo wakati hata hakuulizwa.

Kupitia taasisi ya MIF tunajua wazi aliyepo nyuma ni mama mwenyewe na mtoto ni kivuli tu. Lakini kitendo cha kufunga safari mpaka Zanzibar kwenda kuzindua taasisi binafsi akiwa na kundi la watu ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi. Pengine ameamua kukusanyia pesa MIF ili hata baada ya kustaafu aendelee kuwa na ukwasi kama wenzie kina JK.

View attachment 2428939
 
Mkuu umeandika kama vile una uhakika saana?
 
MIF: Mwanamke Initiative Foundation.

Hii ni taasisi iliyozinduliwa hivi karibuni na mama Samia ikiwa chini ya binti yake mpendwa Wanu Ameir Hafidh yenye maskani yake kuu Zanzibar.

Swali: Kwa nini sasa baada ya mama kuwa rais na haikuanzishwa Magufuli alipokuwa rais na yeye akiwa makamu wake rais?

Hapo nyuma tuliona taasisi kama EOTF chini ya aliyekuwa first lady mama Anna Mkapa na baadaye WAMA chini ya Salma Kikwete.

Hizi taasisi zilikuwa active kipindi cha waume zao walipokuwa marais lakini sasa hata ukiuliza ofisi na vitendea kazi hakuna, kama lengo ilikuwa kusaidia jamii tunaamini muendelezo ungekuwepo.

Kupitia hizi taasisi mambo mengi ya hovyo yalitokea mfano EOTF ilichukua kiwanda cha kubangua korosho kibaha na kutoa mashine zote, hiyo WAMA imehodhi maeneo mengi ikiwemo kujichukulia eneo kubwa la wananchi maeneo ya Mitwero na wakati fulani Magu alipoenda Lindi mama Salma alikuwa anajiuma uma kutoa maelezo ya hilo eneo wakati hata hakuulizwa.

Kupitia taasisi ya MIF tunajua wazi aliyepo nyuma ni mama mwenyewe na mtoto ni kivuli tu. Lakini kitendo cha kufunga safari mpaka Zanzibar kwenda kuzindua taasisi binafsi akiwa na kundi la watu ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi. Pengine ameamua kukusanyia pesa MIF ili hata baada ya kustaafu aendelee kuwa na ukwasi kama wenzie kina JK.

View attachment 2428939

Wanawake wafanye shughuli yao kama inakuuma sana na wewe vaa dera uingie humo.
 
Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma. Huyu bibi anataka kutufilisi watanganyika.pesa zetu za tanganyika zinapekekwa kwa mwanaye zanzibar
 
MIF: Mwanamke Initiative Foundation.

Hii ni taasisi iliyozinduliwa hivi karibuni na mama Samia ikiwa chini ya binti yake mpendwa Wanu Ameir Hafidh yenye maskani yake kuu Zanzibar.

Swali: Kwa nini sasa baada ya mama kuwa rais na haikuanzishwa Magufuli alipokuwa rais na yeye akiwa makamu wake rais?

Hapo nyuma tuliona taasisi kama EOTF chini ya aliyekuwa first lady mama Anna Mkapa na baadaye WAMA chini ya Salma Kikwete.

Hizi taasisi zilikuwa active kipindi cha waume zao walipokuwa marais lakini sasa hata ukiuliza ofisi na vitendea kazi hakuna, kama lengo ilikuwa kusaidia jamii tunaamini muendelezo ungekuwepo.

Kupitia hizi taasisi mambo mengi ya hovyo yalitokea mfano EOTF ilichukua kiwanda cha kubangua korosho kibaha na kutoa mashine zote, hiyo WAMA imehodhi maeneo mengi ikiwemo kujichukulia eneo kubwa la wananchi maeneo ya Mitwero na wakati fulani Magu alipoenda Lindi mama Salma alikuwa anajiuma uma kutoa maelezo ya hilo eneo wakati hata hakuulizwa.

Kupitia taasisi ya MIF tunajua wazi aliyepo nyuma ni mama mwenyewe na mtoto ni kivuli tu. Lakini kitendo cha kufunga safari mpaka Zanzibar kwenda kuzindua taasisi binafsi akiwa na kundi la watu ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi. Pengine ameamua kukusanyia pesa MIF ili hata baada ya kustaafu aendelee kuwa na ukwasi kama wenzie kina JK.

View attachment 2428939
Hapa ndiyo muone umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya. Kwa Katiba hii inayompa Rais wa Tanzania umungumtu huyu mama atatuburuza na cha kumfanya hatuna. Tulipokuwa tunaweka mkazo upatikanaji wa Katiba Mpya tulibezwa ikaonekana ni agenda ya Chadema kutaka madaraka.
 
Back
Top Bottom