Watu wanachuki chuki chuki tu lakini Mwenyezi Mungu ni Mwema Siku zoteView attachment 449437 View attachment 449438
Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa
Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?
Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?
Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau
lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii
Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi
Chuki zako hazitasaidia kitu kama fisadi mbona hamumpeleki ktk mahakama ya kifisad mlioiazisha? Chuki zako za kidini hazisaidii kitu.hv mleta mada una viroba kichwani? kanywe ama kaoge maji ya baridi ili vipungue.
hiyo tril 7 ni projection ya mapato kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii ifikapo 2085. sasa hadi kufikia 2085 ni miez 9 hiyo?
halafu acha kabisa ulevi wa kidini, ww ni mdini sana. dr dau ni fisadi, ova!
Sawa SHEHE, tumekusikia ila pia unahitaji elimu kuhusu mifuko ya hifadhi ya jamii, nssf haiwakilishi mifuko yote!View attachment 449437 View attachment 449438
Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa
Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?
Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?
Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau
lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii
Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi
Awamu iliyopita ililea rushwa. Kukusanya 7 trillion sio issue....kama mnabisha nendeni dege beach mkaone madudu ya NSSF kwenye miradi ya kifisadiWengi awamu hii akiwemo Faru John walijaribu kuonyesha kwamba awamu tangulizi ilikuwa failure unfortunately walishindwa fahamu kwamba data na takwimu ndio zinazobainisha uongo na ukweli.
Strategically Dau hakupaswa kuwa balozi(ingawa una hadhi kuliko ukurugenzi wa NSSF) alipaswa kuwekwa sehem critical kama wizara ya madini na nishati(possibly kuwa waziri kumuepusha na siasa za ubosi) soon tungeona faida ya madini.
Kama investment ya halali IPI unayoweza kuinject 264b halafu baada ya 6yrs Iwe imerudisha ktk nchi kama tz?!naomba nisaidie mfano dadaangu!tena yenye very low risk.Hakuna alikosema limeleta faida Bali wanakusanya,kama dau ange invest ktk business ambayo ni viable am sure in six yrs time hela ingerudi na faida lukuki
Abbas hadi sasa umeamini bwanako dau atatua kisutu au bado?View attachment 449437 View attachment 449438
Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa
Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?
Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?
Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau
lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii
Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi
View attachment 449437 View attachment 449438
Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa
Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?
Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?
Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau
lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii
Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi
Kama yeye alifurahi kuwatesa wengine wao roho zao zinasukuma maji na sii damu ee, yule jamaa ametesa watanzania wengi kwa kutumia udhaifu wa mamlaka ilokuwa juu yake, hata walosimamishwa na hatimae kuondoshwa ni kwa sababu ya huyu hayawaniWatanzania hatuendelei siyo kwa uongozi mbaya bali roho mbaya.Mtu anafurahi akimwona mwenzake anasumbuka na kuteseka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameungana na Balozi Sefue kusubiria kazi nyengine.Professa kaishia wapi?
Professa kaishia wapi?
It is nonsense to boast in the media that social securities funds have a diversified investments portfolios worth 7.1 trillion whilst they core functions have myriads of operational problems. Their members who have lost their jobs on organizational operation requirements are suffering, dying, being embarrassed, for a very simple reasons that they should wait till they turn to 55 years of age to draw their money. THIS IS SHAMEFULView attachment 449437 View attachment 449438
Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa
Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?
Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?
Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau
lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii
Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi