Habari za leo wanaJF
Mimi swali langu la leo nalielekeza kwenye sector ya mikopo midogo midogo maarufu kama microfinance.
1. Je kwa Tanzania tuna aina gani za microfinance institutions? N
2. Ni procedure zipi za kufuata kama unataka kuanzisha microfinance instititutions?
Kama yeyote mwenye uelewa na hizo mambo naomba tujuzane na pia kama kuna thread imewahi kutolewa unaweza kunilink. Natanguliza shukrani zangu. Aksanteni
Mimi swali langu la leo nalielekeza kwenye sector ya mikopo midogo midogo maarufu kama microfinance.
1. Je kwa Tanzania tuna aina gani za microfinance institutions? N
2. Ni procedure zipi za kufuata kama unataka kuanzisha microfinance instititutions?
Kama yeyote mwenye uelewa na hizo mambo naomba tujuzane na pia kama kuna thread imewahi kutolewa unaweza kunilink. Natanguliza shukrani zangu. Aksanteni
