Microfinance nzuri ya ukopeshaji

Microfinance nzuri ya ukopeshaji

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,285
Reaction score
39,490
Ndugu zangu habari

Nahitaji mkopo wa 5million wa haraka ni micro ipi ipo vizuri kwenye masuala ya mikopo Ya haraka na haina janja janja?? Na riba zake kidogo ni nafuu??

Naombeni mawazo yenu kidogo. Ahsanteni
 
Ndugu zangu habari

Nahitaji mkopo wa 5million wa haraka ni micro ipi ipo vizuri kwenye masuala ya mikopo Ya haraka na haina janja janja?? Na riba zake kidogo ni nafuu??

Naombeni mawazo yenu kidogo. Ahsanteni

Nenda Bank hizi Micro utapigwa sana waulize walimu na askari hawatazisahau japo bado kuna wajinga wanapigwa vile vile
 
Chukua salary adv mwaka bado piru huu

Ofisi yenu haina Saccos?
 
Ndugu zangu habari

Nahitaji mkopo wa 5million wa haraka ni micro ipi ipo vizuri kwenye masuala ya mikopo Ya haraka na haina janja janja?? Na riba zake kidogo ni nafuu??

Naombeni mawazo yenu kidogo. Ahsanteni
Ushauri wa haraka haraka siku nyingine ukipata pesa nenda benki ya kiislamu ya amana kisha deposit pesa kama fixed account then tumia hiyo fedha ya akaunti Kama dhamana ya kuwaomba benki hiyo mkopo

Yani mfano, chukua milioni tano weka kama fixed deposit katika benki ya kiislamu ya amana, then waombe mkopo wa milioni mbili,

Faida yake ni kuwa mikopo yao haina riba,
Inasaidia sana wafanyabiashara wadogo wadogo katika suala la marejesho nashangaa watu hawaoni fursa ya unafuu wa kukopa wanabakia na mikopo pasa kichwa yenye kufirisi

Hiyo milioni tano ya dhamana nimesema kwa uzoefu wangu, kuwa ni vizuri kutumia akiba ama pesa ilivyo fixed account kama dhamana kuliko kutumia rasilimali kama nyumba na ardhi kama dhamana.
Akiba ya benki ni dhamana tosha ya Kuombea mkopo

Watu wengi wameng'ang'ana Kuomba mkopo kwa rasilimali zao, wakati wangeweza kujipanga kwa kuwa na fedha ya akiba huko mabenki maalum kwaajili ya Kuombea mkopo.

Ukishindwa kulipa mkopo kwa dhamana ya nyumba unapoteza nyumba
Ila Ukishindwa lipa mkopo wenye dhamana ya fedha ya akiba iliyoko huko mabenki basi benki wafanyacho ni kukata tu malipo yao juu kwa juu, Unakuwa haiumi sana kama vile kupoteza rasilimali yako muhimu kama nyumba ama ardhi.
 
Ushauri wa haraka haraka siku nyingine ukipata pesa nenda benki ya kiislamu ya amana kisha deposit pesa kama fixed account then tumia hiyo fedha ya akaunti Kama dhamana ya kuwaomba benki hiyo mkopo

Yani mfano, chukua milioni tano weka kama fixed deposit katika benki ya kiislamu ya amana, then waombe mkopo wa milioni mbili,

Faida yake ni kuwa mikopo yao haina riba,
Inasaidia sana wafanyabiashara wadogo wadogo katika suala la marejesho nashangaa watu hawaoni fursa ya unafuu wa kukopa wanabakia na mikopo pasa kichwa yenye kufirisi

Hiyo milioni tano ya dhamana nimesema kwa uzoefu wangu, kuwa ni vizuri kutumia akiba ama pesa ilivyo fixed account kama dhamana kuliko kutumia rasilimali kama nyumba na ardhi kama dhamana.
Akiba ya benki ni dhamana tosha ya Kuombea mkopo

Watu wengi wameng'ang'ana Kuomba mkopo kwa rasilimali zao, wakati wangeweza kujipanga kwa kuwa na fedha ya akiba huko mabenki maalum kwaajili ya Kuombea mkopo.

Ukishindwa kulipa mkopo kwa dhamana ya nyumba unapoteza nyumba
Ila Ukishindwa lipa mkopo wenye dhamana ya fedha ya akiba iliyoko huko mabenki basi benki wafanyacho ni kukata tu malipo yao juu kwa juu, Unakuwa haiumi sana kama vile kupoteza rasilimali yako muhimu kama nyumba ama ardhi.
Kumbe inawezekana kufanya hivyo,Asante
 
Back
Top Bottom