Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Mickdad Abdul ajitosa kuwania Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM achukua fomu na kusema anatumia haki yake kikatiba.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Asema Chama hakina ubaguzi wa Rangi, ukabila wala ukanda.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Asema Chama hakina ubaguzi wa Rangi, ukabila wala ukanda.