maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,169
- 1,533
Hello wanakandanda wa JF!
Baada ya michuano ya kombe la dunia kuhitimishwa huko Qatar na Argentina kuchukua kombe hebu tufanye flash back kulinganisha na michuano ya 2022 na ya miaka ya nyuma.
Kwa maoni yangu michuano ya 2022 imekuwa na msisimko mkubwa ukilinganisha na ya miaka ya nyuma kuanzia 1998. Qatar pia imeonyesha uwezo mkubwa kwenye maandalizi yote.
Vipi wewe mwenzangu unaonaje michuano ya Qatar ukilinganisha na mingine iliyopita?
Baada ya michuano ya kombe la dunia kuhitimishwa huko Qatar na Argentina kuchukua kombe hebu tufanye flash back kulinganisha na michuano ya 2022 na ya miaka ya nyuma.
Kwa maoni yangu michuano ya 2022 imekuwa na msisimko mkubwa ukilinganisha na ya miaka ya nyuma kuanzia 1998. Qatar pia imeonyesha uwezo mkubwa kwenye maandalizi yote.
Vipi wewe mwenzangu unaonaje michuano ya Qatar ukilinganisha na mingine iliyopita?