lugoda12 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 311 Reaction score 644 Jan 18, 2025 #1 Aiseh kweli soka la wezetu limeendelea, uki angalia kikosi chote cha kwanza cha MC Alger wote ni wazawa hata walioko subs 2 tu na ni wa Ivory Coast ๐จ๐ฎ wote!!
Aiseh kweli soka la wezetu limeendelea, uki angalia kikosi chote cha kwanza cha MC Alger wote ni wazawa hata walioko subs 2 tu na ni wa Ivory Coast ๐จ๐ฎ wote!!
Mowwo JF-Expert Member Joined Aug 15, 2015 Posts 1,727 Reaction score 2,545 Jan 18, 2025 #2 Thamani ya hela ingekua juu kdg, tungekua vizuri zaidi
Vhagar JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 20,786 Reaction score 40,476 Jan 18, 2025 #3 Hata ukiangalia idadi yamastar wanaocheza ulaya huwezi fananisha na huku. Mfumo wao wa kukuza vipaji uko vyema sana.
Hata ukiangalia idadi yamastar wanaocheza ulaya huwezi fananisha na huku. Mfumo wao wa kukuza vipaji uko vyema sana.
lugoda12 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 311 Reaction score 644 Jan 18, 2025 Thread starter #4 Vhagar said: Hata ukiangalia idadi yamastar wanaocheza ulaya huwezi fananisha na huku. Mfumo wao wa kukuza vipaji uko vyema sana. Click to expand... Saaana
Vhagar said: Hata ukiangalia idadi yamastar wanaocheza ulaya huwezi fananisha na huku. Mfumo wao wa kukuza vipaji uko vyema sana. Click to expand... Saaana
lugoda12 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 311 Reaction score 644 Jan 18, 2025 Thread starter #5 Mowwo said: Thamani ya hela ingekua juu kdg, tungekua vizuri zaidi Click to expand... Kabisa
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 22,312 Reaction score 56,009 Jan 18, 2025 #6 Weka na age average yao,je Chama angepata namba humi
29Oct2025 JF-Expert Member Joined Apr 19, 2023 Posts 5,976 Reaction score 8,268 Jan 18, 2025 #7 mdukuzi said: Weka na age average yao,je Chama angepata namba humi Click to expand... Chama yupi? Au huyu chama wa khalid aucho ๐คฃ
mdukuzi said: Weka na age average yao,je Chama angepata namba humi Click to expand... Chama yupi? Au huyu chama wa khalid aucho ๐คฃ
lugoda12 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 311 Reaction score 644 Jan 18, 2025 Thread starter #8 mdukuzi said: Weka na age average yao,je Chama angepata namba hum๐๐๐ Click to expand...