Michezo Yetu Ya Utotoni Imepotea!

Michezo Yetu Ya Utotoni Imepotea!

fredito13

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
213
Reaction score
146
Enzi zile wakati tunakua, tulikua na michezo mingi sana
Kombolera (kwenye mahindi), magari, Unacho (kidalipoo), gololi, Kula tumbakishie baba, Kibaba baba, marede, Tobo dunda, kiboreni, mdako, kuendesha maringi n.k.
Cha ajabu sion watoto wa siku hizi wakicheza hiyo michezo. Nin kimewasibu?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Teh Teh teh, umenikumbusha mchezo wa goroli! Nilikuwa naupenda sana, hata muda wa msosi nilikuwa sikumbuki tena! Kitu cha msingi ni kuziandika kanuni za michezo hiyo na kuzihifadhi kama historia kwa vizazi vyetu.
 
Wototo wa sikuhizi wana jifanya wapo bize na cm pamoja na kompyuta za wazazi wao.
Matokeo yake utakuta toto limbulula mwanzo mwenga.
 
teknolojia inaathiri; maana kuna TV ambapo watoto hutumia muda wao mwingi kuangalia katuni, kucheza games, vilevile kuchezea kompyuta na simu. Tatizo ni kwamba watoto wanakosa udadisi na ubunifu.
 
Mh kibaba baba jaman nlikuwa naipendaaa.Halaf nlikuwa napenda kuchagua mama awe fulan naemtaka(of course zilikuwa ni hsia za mapenz tunazokuwa nazo utotoni)lakn hatukuwa 2nafanya ngono mana hsia za ngono hazikuwepo.Mnachum chum "watoto wenu" mnawatuma mbaliii mana wakiwashtukia mtaambiwa mumetaka kufanya MCHEZO MBAYA.ha ha ha ha
 
Wa cku izi wako bize na kwaito,kuigiza umiss,u joti,u diamond,u jocena na taka taka nyingne zinazoendana na hayo. Wakipata sifuri eti serikali imewachakachua.Wazazi tuwe makini sana
 
Mh kibaba baba jaman nlikuwa naipendaaa.Halaf nlikuwa napenda kuchagua mama awe fulan naemtaka(of course zilikuwa ni hsia za mapenz tunazokuwa nazo utotoni)lakn hatukuwa 2nafanya ngono mana hsia za ngono hazikuwepo.Mnachum chum "watoto wenu" mnawatuma mbaliii mana wakiwashtukia mtaambiwa mumetaka kufanya MCHEZO MBAYA.ha ha ha ha
hisia zinakuwepo za kufanya mbona wengine walikuwa wanafanya kweli bt ndo ivyo kwa juu juu kanaingia kiaina aina. Vitoto vijanja ndo chansi ya kupima chama kama kina dumu.
 
palikuwepo mchezo ambao unachora chini vyumba vyumba halafu unarusha kipande cha kigae na kisha unakisukuma kwa mguu toka chumba kimoja hadi kingine. Halafu unatembea katika hivyo vyumba huku umefumba macho na kila hatua moja unauliza wenzako "Am I right?" ingawa kwakweli tulikuwa tukisema "Marait?". Ulikuwa ni mchezo unaompa mtoto changamoto na pia ni mazoezi mazuri sana. Sijawahi kuuona sasa miaka mingi kabisa.
 
Ulikuwa hunikuti nimetumwa bila ringi mkononi ama nimekaa bila kucheza mpira wa visoda ..sasa kama hamuaonesh watajuaje
 
Mkuu fredito13 watachezea wapi viwanja vya wazi vyote mmebinafisisha!
 
Last edited by a moderator:
Enzi zile wakati tunakua, tulikua na michezo mingi sana
Kombolera (kwenye mahindi), magari, Unacho (kidalipoo), gololi, Kula tumbakishie baba, Kibaba baba, marede, Tobo dunda, kiboreni, mdako, kuendesha maringi n.k.
Cha ajabu sion watoto wa siku hizi wakicheza hiyo michezo. Nin kimewasibu?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
vipo sababu kadhaa zinazochangia,kama zifuatazo;
1.maeneo mengi ya kuchezea watoto yamejengwa.Hata mashuleni tu siku hizi viwanja navyo vimenjengwa madarasa.open space zote za mitaani watu wa ardhi wameuza.
2.tution;muda wa kucheza nao unabana,watoto wengi wakitoka shule wanaenda tution.
3.hali ya maisha;wazazi uwa wakali baadhi ya michezo,kama vile kombolela kwa sababu kila sehemu hasa za mijini kuna chupa zimetupwa.
4.utandawazi;sim,tv,computer, nazo zinachangia.watoto wengi ukiwauliza ray,marehemu kanumba, watakuambia hadi historia yao yote kwa sababu muda mwingi wanapoteza kuangalia video.
 
Mi nakumbuka kaka'angu alikuw ndo mtaalam wa kutengeneza magar ya mabox mtaan kwetu, aliyatengeneza na kuwauzia watoto wengine, jins ya kuyapata mabox tulikuw tunakwenda "mjini" kuyatafuta, stend ya mabas ya UDA ilikuw Temeke mwisho nauli shiling 1
 
Enzi zile wakati tunakua, tulikua na michezo mingi sana
Kombolera (kwenye mahindi), magari, Unacho (kidalipoo), gololi, Kula tumbakishie baba, Kibaba baba, marede, Tobo dunda, kiboreni, mdako, kuendesha maringi n.k.
Cha ajabu sion watoto wa siku hizi wakicheza hiyo michezo. Nin kimewasibu?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Kuruka kamba, kuwinda ndege kwa manati na mitego, kujenga magari ya maboksi matairi visoda au malapa. Kubumba watoto kwa udongo wa mfinyanzi au kushona toys kwa vitambaa.
 
palikuwepo mchezo ambao unachora chini vyumba vyumba halafu unarusha kipande cha kigae na kisha unakisukuma kwa mguu toka chumba kimoja hadi kingine. Halafu unatembea katika hivyo vyumba huku umefumba macho na kila hatua moja unauliza wenzako "Am I right?" ingawa kwakweli tulikuwa tukisema "Marait?". Ulikuwa ni mchezo unaompa mtoto changamoto na pia ni mazoezi mazuri sana. Sijawahi kuuona sasa miaka mingi kabisa.

unaitwa dama
 
Magari ya maboksi(masafa),dama,gombania goli (wa mwisho mama),bye show (baishoo),polis amatafute mwizi,ukutiukuti,vita(bunduki mabomba ya mapapai),sembo(mpira wa makaratasi)nk..umenikumbusha mbali sana,hivi sikuhiz hawa watoto wanajua hata mabolozi wa mitaa yao kweli

Enzi zile wakati tunakua, tulikua na michezo mingi sana
Kombolera (kwenye mahindi), magari, Unacho (kidalipoo), gololi, Kula tumbakishie baba, Kibaba baba, marede, Tobo dunda, kiboreni, mdako, kuendesha maringi n.k.
Cha ajabu sion watoto wa siku hizi wakicheza hiyo michezo. Nin kimewasibu?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
mshenzi wewe,umenikumbusha mbali sanaaaaa... nilikamatwa na kadem kajirani tunagegedana kitoto,mama akanambia ngoja babako aje!!! bahati nzuri dingi karudi nilikuwa nimelala,kesho yake naendea nauli akaniuliza nikawa nakasingizia kashorty kangu kilinifungua zipu(mama yuko pembeni hapo..!!)nilijua kichapo,ghafla naskia dingi na mozerii wanaongea kilugha wanacheka...haaahaaaa...
hisia zinakuwepo za kufanya mbona wengine walikuwa wanafanya kweli bt ndo ivyo kwa juu juu kanaingia kiaina aina. Vitoto vijanja ndo chansi ya kupima chama kama kina dumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom