L lukelo sakafu JF-Expert Member Joined Feb 19, 2015 Posts 2,938 Reaction score 517 Mar 31, 2015 #1 Wakuu, Mwagikeni hapa eti ni wapi zaidi kati ya michepuko au kwa yule ulie nae kwenye ndoa? Yupi anakuchanganya na kwanini? Mwenye uzoefu na hii mambo atujuze.
Wakuu, Mwagikeni hapa eti ni wapi zaidi kati ya michepuko au kwa yule ulie nae kwenye ndoa? Yupi anakuchanganya na kwanini? Mwenye uzoefu na hii mambo atujuze.
P P.MASHINE Member Joined Mar 25, 2015 Posts 55 Reaction score 7 Mar 31, 2015 #2 Mchepuko unajituma zaid kuliko ndan anabweteka kama c.c.m
adakiss23 JF-Expert Member Joined Jan 23, 2011 Posts 4,921 Reaction score 5,323 Apr 1, 2015 #3 Mkeo anaweza kukuvumilia either ukiishiwa au vinginevyo lkn mchepuko ukiishiwa anachepuka kivyake
L lukelo sakafu JF-Expert Member Joined Feb 19, 2015 Posts 2,938 Reaction score 517 Apr 1, 2015 Thread starter #4 P.MASHINE said: Mchepuko unajituma zaid kuliko ndan anabweteka kama c.c.m Click to expand... mkuu tunashukuru kwa maoni yako unaonekana unao uzoefu wa kutosha katika eneo hili
P.MASHINE said: Mchepuko unajituma zaid kuliko ndan anabweteka kama c.c.m Click to expand... mkuu tunashukuru kwa maoni yako unaonekana unao uzoefu wa kutosha katika eneo hili
L lukelo sakafu JF-Expert Member Joined Feb 19, 2015 Posts 2,938 Reaction score 517 Apr 1, 2015 Thread starter #5 adakiss23 said: Mkeo anaweza kukuvumilia either ukiishiwa au vinginevyo lkn mchepuko ukiishiwa anachepuka kivyake Click to expand... kwa hiyo unaegemea upande upi hapa?
adakiss23 said: Mkeo anaweza kukuvumilia either ukiishiwa au vinginevyo lkn mchepuko ukiishiwa anachepuka kivyake Click to expand... kwa hiyo unaegemea upande upi hapa?